JK aunda Tume kuchunguza Operesheni Tokomeza Ujangili
>Rais Jakaya Kikwete ameunda Tume ya Uchunguzi, kuhusu vitendo vilivyotokana na Uendeshaji wa Operesheni Tokomeza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Mar
Taarifa ya tume kuchunguza operesheni tokomeza yaiva
NA RACHEL KYALA TUME ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza, inatarajia kuwasilisha taarifa yake kwa Rais Jakaya Kikwete, wakati wowote kuanzia sasa. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji (mstaafu) Hamisi Msumi, alisema hayo alipozungumza na Uhuru jana na kueleza kwamba wameshakamilika kazi. Alisema walifanya majumuisho ya taarifa na kukamilisha ripoti ambayo wanapaswa kumkabidhi Rais Kikwete.
“Wakati wowote kuanzia leo, tutamwomba Rais Kikwete atupangie siku ya kukutana naye ili tumkabidhi ripoti...
10 years ago
Michuzi10 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QuyplVTgcgM/VAmEDdOoYFI/AAAAAAAGenY/hzcdXLFO5AY/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-TUME%2BOPERESHENI%2BTOKOMEZA.jpeg)
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Lowassa aahidi kuchunguza upya Operesheni Tokomeza
10 years ago
Habarileo14 Jan
DC aunda Tume kuchunguza mauaji ya simba
MKUU wa wilaya ya Babati Khalid Mandia ameunda tume ya watu watatu wakisaidiwa na maofisa Wanyama Pori wa wilaya hiyo kuchunguza mauaji ya simba sita yaliyotokea katika kijiji cha Olasiti, kata ya Nkaiti Januari mosi mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Bendera aunda tume kuchunguza migodi iliyoungua
10 years ago
VijimamboDC KINONDONI AUNDA TUME HURU KUCHUNGUZA UBOVU WA BARABARA
Na Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ameunda tume ya wajumbe saba wakiwamo wawili kutoka serikalini kwa ajili ya kuchunguza ubovu wa barabara katika wilaya hiyo.
Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
UNYAMA, UBAKAJI NA MAUAJI: Operesheni Tokomeza Ujangili
OPERESHENI Tokomeza Ujangili imedhihirisha kwamba Tanzania imegeuka Guantanamo na imeacha kuwa ‘kisiwa cha amani’. Hakuna anayefurahia vitendo vya ujangili na uharibifu unaofanywa na majangili dhidi ya mazingira ya asili na...
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Rais akabidhiwa ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili