Bendera aunda tume kuchunguza migodi iliyoungua
>Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Joel Bendera ameunda tume maalumu ya kuchunguza chanzo cha moto uliotokea hivi karibuni katika migodi 16 ya madini ya Tanzanite ya Kitalu B (Opec) mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jan
DC aunda Tume kuchunguza mauaji ya simba
MKUU wa wilaya ya Babati Khalid Mandia ameunda tume ya watu watatu wakisaidiwa na maofisa Wanyama Pori wa wilaya hiyo kuchunguza mauaji ya simba sita yaliyotokea katika kijiji cha Olasiti, kata ya Nkaiti Januari mosi mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi03 May
JK aunda Tume kuchunguza Operesheni Tokomeza Ujangili
10 years ago
VijimamboDC KINONDONI AUNDA TUME HURU KUCHUNGUZA UBOVU WA BARABARA
Na Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ameunda tume ya wajumbe saba wakiwamo wawili kutoka serikalini kwa ajili ya kuchunguza ubovu wa barabara katika wilaya hiyo.
Akizungumza na waandishi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mz6gGlhieKM/XlGNkLt1FxI/AAAAAAALe3k/78muR5Ej14gidNfwFXU44UYeJtWvFx-8gCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv68220e4836d1lsfe_800C450.jpg)
Waziri Mkuu wa Sudan aunda tume ya kuchunguza ukandamizaji dhidi ya raia
![](https://1.bp.blogspot.com/-mz6gGlhieKM/XlGNkLt1FxI/AAAAAAALe3k/78muR5Ej14gidNfwFXU44UYeJtWvFx-8gCLcBGAsYHQ/s640/4bv68220e4836d1lsfe_800C450.jpg)
Akizungumza kwa njia ya televisheni, Abdalla Hamdok amesema kuwa: Nimechukua uamuzi wa kuunda kamati ya uchunguzi kufuatia matukio ya siku mbili zilizopita.
Waziri Mkuu Hamdok amesema kuwa, Mwanasheria Mkuu Taj-Elsir Ali ataongoza kamati hiyo ya uchunguzi ambayo inapaswa kutoa ripoti yake katika kipindi cha siku saba zijazo....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W9O2NviWmrk/VW4XD0NI_ZI/AAAAAAAHbhQ/sJotW4VT25s/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU AUNDA TUME YA KUCHUNGUZA MALALAMIKO YA WANANCHI KUNYANYASWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W9O2NviWmrk/VW4XD0NI_ZI/AAAAAAAHbhQ/sJotW4VT25s/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cGTWte_2TIw/VW4XUBRgKGI/AAAAAAAHbhY/r4EVWlhSQho/s640/2.jpg)
9 years ago
Mtanzania04 Jan
DC aunda kamati kuchunguza mgomo
Na Safina Sarwatt, Moshi
MKUU wa Wilaya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameunda kamati tatu ya kuchunguza mgomo baridi wa madakatari na manesi unaendelea katika Hospitali ya Kibosho, wakipinga lugha chafu, ubabe unaofanywa na uongozi wa hospitali hiyo na kucheleweshewa mishahara.
Hatua hiyo ya mkuu huyo kuunda tume imekuja mara baada ya kufanya kikao na watumishi, kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wagonjwa kuhusu huduma mbovu.
Akitoa agizo la kuundwa kwa kamati tatu za...
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Kamati ya Bendera yaanza kuchunguza mauaji Moro
10 years ago
Habarileo24 Sep
Tume kuchunguza mwanafunzi kujinyonga hospitali
UONGOZI wa Mkoa wa Kagera, umeunda Kamati kuchunguza chanzo cha kifo cha mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo Manispaa ya Bukoba, aliyejinyonga katika mazingira ya hospitali ya rufaa ya mkoa.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wabunge wataka tume kuchunguza EFD