Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati ya Bendera yaanza kuchunguza mauaji Moro

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Francis Miti amesema kamati iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera kuchunguza chanzo cha vurugu zilizosababisha mauaji ya wakulima watatu wanaodaiwa kuuawa na polisi katika Kijiji cha Igawa, Kata ya Malinyi, Ulanga imeanza kufanya kazi na kwamba hali ya usalama na amani imerejea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bendera aunda tume kuchunguza migodi iliyoungua

>Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Joel Bendera ameunda tume maalumu ya kuchunguza chanzo cha moto uliotokea hivi karibuni katika migodi 16 ya madini ya Tanzanite ya Kitalu B (Opec) mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bendera ya Palestina yaanza kupepea UN

Bendera ya Palestina imepeperushwa kwa mara ya kwanza katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York.

 

10 years ago

Habarileo

DC aunda Tume kuchunguza mauaji ya simba

MKUU wa wilaya ya Babati Khalid Mandia ameunda tume ya watu watatu wakisaidiwa na maofisa Wanyama Pori wa wilaya hiyo kuchunguza mauaji ya simba sita yaliyotokea katika kijiji cha Olasiti, kata ya Nkaiti Januari mosi mwaka huu.

 

9 years ago

Mtanzania

DC aunda kamati kuchunguza mgomo

novatusNa Safina Sarwatt, Moshi

MKUU wa Wilaya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Novatus Makunga ameunda kamati tatu ya kuchunguza mgomo  baridi  wa madakatari na manesi  unaendelea katika  Hospitali ya Kibosho, wakipinga lugha chafu, ubabe unaofanywa na uongozi wa hospitali hiyo na  kucheleweshewa mishahara.

Hatua hiyo ya mkuu huyo kuunda tume imekuja mara baada ya kufanya kikao na watumishi, kutokana na kuwapo kwa malalamiko ya wagonjwa kuhusu huduma mbovu.

Akitoa agizo la kuundwa kwa kamati tatu za...

 

11 years ago

Mtanzania

Kamati yaundwa kuchunguza viungo vya binadamu

mabaki ya miili ya watu

Wananchi wakiangalia mifuko yenye viungo mbalimbali vya binadamu vilivyokutwa katika Bonde la Mweni Mpiji wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. Picha ndogo kushoto ni polisi wakipakia viungo hivyo. Picha zote na Deus Mhagale

Adam Malinda na Grace Shitundu, Dar es Salaam

SERIKALI imeunda kamati ya watu 15 kuchunguza chanzo cha tukio lililofanywa na Chuo cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) la kutupwa mabaki ya viungo vya miili ya binadamu katika bonde la Mto Mpiji, lililopo...

 

11 years ago

Habarileo

Kamati Teule kuchunguza wizi wa nyaraka nyeti

SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amekubali kuunda Kamati Teule kuchunguza wizi wa nyaraka nyeti katika jengo la Ofisi Kuu Kilimani. Inaundwa baada ya Serikali kukiri kuibwa kwa nyaraka hizo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yaanza kuchunguza tukio la kukamatwa kwa wananchi walioshiriki mkutano wa CUF

Untitled 1

Tume imesikitishwa na matukio yaliyotokea tarehe 27/01/2015 huko Mbagala Wilaya ya Temeke Dar-es-Salaam, matukio ambayo yameoneshwa na Kituo cha Televisheni cha “Channel Ten” ambayo yameashiria uvunjifu wa haki za binadamu.

Mnamo majira ya saa kumi na robo hadi kumi na nusu jioni, Kituo cha TV cha “Channel Ten” kilirusha picha zilizoonesha kupigwa na Polisi baadhi ya wananchi waliokamatwa kwa kile kilichoelezwa kushiriki mkutano wa Chama cha Wananchi (CUF) uliosemekana kuwa si halali.

Tume...

 

9 years ago

Mwananchi

NYANZA: Kamati yaundwa kuchunguza tuhuma za daktari aliyegoma kutoa huduma

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, James Ihunyo ameunda kamati ya watu watatu inayoongozwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya, Dk Maja Sosome kuchunguza tuhuma zinazomkabili mganga aliyekuwa zamu usiku wa Novemba 22, mwaka huu kugoma kumhudumia mtoto mwenye umri wa miezi sita.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU MAJALIWA APOKEA TAARIFA YA KAMATI ALIYOIUNDA YA KUCHUNGUZA ZAO LA KATANI

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea taarifa ya uchunguzi wa tuhuma mbalimbali katika tasnia ya kilimo cha mkonge mkoani Tanga na kuagiza mapendekezo yaliyotolewa na timu hiyo yakiwemo ya kurejeshwa Serikalini kwa nyumba na. 176 eneo la Bombo ambayo ilimilikishwa kwa Bw. Salum Shamte yafanyiwe kazi.
Nyumba nyingine zilizopendekezwa kurejeshwa Serikalini ni pamoja na nyumba kumi zilizoko ndani ya Jiji la Tanga katika maeneo ya Raskazone, Bombo, Nguvumali na Market street ambazo zilinunuliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani