Bendera ya Palestina yaanza kupepea UN
Bendera ya Palestina imepeperushwa kwa mara ya kwanza katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Bendera ya Palestina kupepea ofisi za UN
9 years ago
VijimamboBENDERA YA PALESTINA KUPEPERUSHWA MAKAO MAKUU YA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pyFxYBjfZ1s/VfKNb5Wp-QI/AAAAAAAD66M/3hmgv-L7V5U/s640/shutterstock_159042647.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-18e6tsLh5Sc/VfJarzyawKI/AAAAAAAH38Y/ayppVvto9Gs/s72-c/shutterstock_159042647.jpg)
PALESTINA KUPEPESHA BENDERA YAKE MAKAO MAKUU YA UMOJA WA MATAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-18e6tsLh5Sc/VfJarzyawKI/AAAAAAAH38Y/ayppVvto9Gs/s640/shutterstock_159042647.jpg)
Bendera ya Palestine itapepea nje ya Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, hii inafuatia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupitisha azimio ambalo linatoa fursa kwa nchi ambazo si mwanachama kamili wa Umoja huo kupeperusha bendera yake Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Kamati ya Bendera yaanza kuchunguza mauaji Moro
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina
Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein
![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q8cmQgYykoU/VItORO4d98I/AAAAAAAG23o/zJ2v5sikeOw/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Tutajilinda na mashambulizi,Palestina
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Maandamano yazuka Palestina