BENDERA YA PALESTINA KUPEPERUSHWA MAKAO MAKUU YA UMOJA WA MATAIFA
Ubao wa Matangazo ndani ya Ukumbi Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, ukionyesha matokeo ya kura katika tukio la kihistoria kufanyika ambapo Baraza hilo limepitisha azimio linalotoa fursa kwa Palestina kupeperusha bendera yake. Nchi wanachama walipiga makofi kushangilia kupitishwa kwa azimio hilo, ambalo Israel imesema Palestina inatafuta umaarufu kwa njia za mkato badala ya kurejea kwenye meza ya mazugumzo.
Bendera ya Palestine itapepea nje ya Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, hii...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-18e6tsLh5Sc/VfJarzyawKI/AAAAAAAH38Y/ayppVvto9Gs/s72-c/shutterstock_159042647.jpg)
PALESTINA KUPEPESHA BENDERA YAKE MAKAO MAKUU YA UMOJA WA MATAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-18e6tsLh5Sc/VfJarzyawKI/AAAAAAAH38Y/ayppVvto9Gs/s640/shutterstock_159042647.jpg)
Bendera ya Palestine itapepea nje ya Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, hii inafuatia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupitisha azimio ambalo linatoa fursa kwa nchi ambazo si mwanachama kamili wa Umoja huo kupeperusha bendera yake Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WjpyqOgTsEs/VLpttFvXPGI/AAAAAAAAIEE/Zgv7SvYM2ls/s72-c/shaka.jpg)
TAARIFA YA UMOJA WA VIJANA WA CCM ( UVCCM) MAKAO MAKUU DAR ES SAALAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-WjpyqOgTsEs/VLpttFvXPGI/AAAAAAAAIEE/Zgv7SvYM2ls/s1600/shaka.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GCcmDCu8TEg/Xu0MlevPUyI/AAAAAAALur4/A3sKjVQL2lIxCRavJxO0Ovw6TBsyPC61gCLcBGAsYHQ/s72-c/Picture%2B2%2B%25281%2529.png)
MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA UMOJA POSTA AFRIKA JIJINI ARUSHA.
Na:Vero Ignatus-Arusha.
Zaidi ya shilingi bilioni 38 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kisasa lenye jumla ya ghorofa 17 ambalo linajengwa kwa ubia Kati ya Umoja wa Post Afrika (PAPU) na serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya mawasiliano Nchini (TCRA).
Ni miezi sita sasa tangu kuzinduliwa shughuki za ujenzi kwa kuwekewa jiwe la msingi na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na mawasiliano mnamo januari 18 mwaka 2020 zoezi lililo ongozwa Mhandisi Isack Kamwelwe alie ambatana na viongozi...
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Bendera ya Palestina yaanza kupepea UN
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Bendera ya Palestina kupepea ofisi za UN
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WA UMOJA WA JAMHURI YA KOREA, UMOJA WA ULAYA NA PALESTINA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1C1Yp_CzL_I/U_HGiq98ogI/AAAAAAAGAYY/9D4lZ9tXKCI/s72-c/Nembo-ya-TFF.jpg)
FIFA KUBORESHA MAKAO MAKUU YA TFF
![](http://4.bp.blogspot.com/-1C1Yp_CzL_I/U_HGiq98ogI/AAAAAAAGAYY/9D4lZ9tXKCI/s1600/Nembo-ya-TFF.jpg)
Hatua hiyo itaiwezesha TFF kuwa na mazingira bora ya kufanya shughuli zake kwa ufanisi.
Vilevile kupitia programu zake mbalimbali ikiwemo ile ya Goal, FIFA imeahidi kushirikiana na TFF...
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
RC alilia makao makuu yahamie Dodoma
NA THEODOS MGOMBA, DODOMA.
WAUMINI na viongozi wa dini mkoani hapa, wameombwa kuomba dua maalum ili azma ya serikali ya kuhamishia makao makuu Dodoma itimie.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi, alipokuwa akitoa salamu za mkoa kwenye mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa wanawake (UWT).
Mkuu huyo wa mkoa alisema ni vyema sasa kukawa na dua maalumu la kuombea uhamisho wa makao makuu kuwa Dodoma, kwani umekuwa wa muda mrefu sasa.
Alisema azma hiyo ya...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Dodoma,makao makuu yasiyo na ukuu