Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa aahidi kuchunguza upya Operesheni Tokomeza

Mgombea urais wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa amesema akichaguliwa kuwa rais wa Awamu ya Tano, ataunda tume tatu ikiwamo ya kuchunguza upya sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili ambalo utekelezaji wake ulilalamikiwa na wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Taarifa ya tume kuchunguza operesheni tokomeza yaiva



NA RACHEL KYALA TUME ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza, inatarajia kuwasilisha taarifa yake kwa Rais Jakaya Kikwete, wakati wowote kuanzia sasa. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji (mstaafu) Hamisi Msumi, alisema hayo alipozungumza na Uhuru jana na kueleza kwamba wameshakamilika kazi. Alisema walifanya majumuisho ya taarifa na kukamilisha ripoti ambayo  wanapaswa kumkabidhi Rais Kikwete.
“Wakati wowote kuanzia leo, tutamwomba Rais Kikwete atupangie siku ya kukutana naye ili tumkabidhi ripoti...

 

11 years ago

Mwananchi

JK aunda Tume kuchunguza Operesheni Tokomeza Ujangili

>Rais Jakaya Kikwete ameunda Tume ya Uchunguzi, kuhusu vitendo vilivyotokana na Uendeshaji wa Operesheni Tokomeza.

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa: Nitachunguza upya madhara Operation Tokomeza

Pg 2NA MAREGESI PAUL, MPANDA

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amesema wanaompiga vita walie tu kwa sababu hawezi kuzuia mafuriko kwa mkono.

Lowassa ametoa kauli hiyo mjini hapa jana, alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Kashaulili vilivyoko Mpanda, mkoani Katavi. “Nilishasema siwezi kuzuia mafuriko haya kwa mkono, sasa yanawasumbua wao, nasema siwezi kuyazuia kwa mkono,”...

 

11 years ago

Mwananchi

Operesheni Tokomeza inarudi

Rais Jakaya Kikwete amesema Operesheni Tokomeza Ujangili iliyositishwa kwa muda kutokana na utekelezaji wake kukumbwa na kasoro na kusababisha mawaziri wake wanne kuwajibika kisiasa, itaendelea baada ya kukamilika kwa matayarisho ya awamu yake ya pili.

 

10 years ago

Habarileo

Operesheni Tokomeza kuendelea kuwezeshwa

SERIKALI imeahidi kuendelea kuiwezesha na kuipa ushirikiano Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza ili iendelee kutekeleza na hatimaye kukamilisha majukumu yake kama ilivyokusudiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi 43 Operesheni Tokomeza zimeamuliwa

JUMLA ya kesi 43, kati ya 45 zilizofunguliwa katika Mahakama  ya Wilaya ya Mpanda, Mkoa wa Katavi wakati wa Operesheni Tokomeza Ujangili tayari zimesikilizwa na kutolewa uamuzi na Mahakama ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fedha za Operesheni Tokomeza zayeyuka

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, amesema kuwa kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya Operesheni Tokomeza Ujangili hazijulikani zilipo. Alisema kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

JK apokea Ripoti ya Operesheni Tokomeza

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete jana alipokea Ripoti ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza katika hafla fupi ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wakiri makosa Operesheni Tokomeza

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Isaya MunguluJESHI la Polisi, limekuwa la kwanza kati ya taasisi saba zinazohusika moja kwa moja, kukiri udhaifu katika utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili, iliyowaondoa mawaziri wanne katika nafasi zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani