Sido yaja na mpango wa kukopesha
UNAPOTAKA kufanya biashara yoyote lazima uwe na mtaji. Kwa bahati mbaya wajasiriamali wengi wanaposema mtaji wana maana fedha za kununulia bidhaa watakazouza au huduma watakayotoa kwa malipo ambayo kwa kweli...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QW9PkPNGw8s/XpV1VAnObKI/AAAAAAAA3h4/IaHY3uLAu3cSK1Z1lNCc4TYxuodINj_yQCNcBGAsYHQ/s72-c/Reshma.jpeg)
BRIGHTERMONDAY TANZANIA YAJA NA MPANGO KUSAIDIA BIASHARA KIPINDI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QW9PkPNGw8s/XpV1VAnObKI/AAAAAAAA3h4/IaHY3uLAu3cSK1Z1lNCc4TYxuodINj_yQCNcBGAsYHQ/s640/Reshma.jpeg)
Reshma Bharmal-Shariff, Ofisa Mtendaji Mkuu BrighterMonday Tanzania.
KAMPUNI ya ajira ya BrighterMonday Tanzania imezindua mpango unaoitwa 'Umoja Wakati wa Shida ' ambao utatoa nafasi kwa watu binafsi au kampuni kutangaza ajira bure katika kipindi hiki ambacho nchi inapambana na maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kupitia kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wake, Reshma Bharmal-Shariff ilieleza kuwa kampeni hiyo inalenga...
9 years ago
MichuziNHIF YAJA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KAYA KWA KAYA
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Benki ya Mwanga kukopesha walalahoi
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
NMB yapongezwa kukopesha wajasiriamali
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ameisifia Benki ya NMB kwa kukopesha wajasiriamali na kuwataka waendeele kutoa mikopo ili kukomboa sekta ya biashara nchini. Pinda alitoa kauli hiyo juzi alipotembelea banda la...
11 years ago
Habarileo21 Jun
PSPF, TPB kukopesha wastaafu
MFUKO wa Pensheni wa PSPF kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania (TPB) wamezindua mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu.
11 years ago
Habarileo28 Apr
NSSF kukopesha wakulima wa kahawa
WAKULIMA za zao la Kahawa wanatarajia kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoani Kilimanjaro, kuboresha zao hilo, ambalo limekumbwa na changamoto mbalimbali.
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Sido, Finland kuinua wazalishaji
9 years ago
TheCitizen24 Dec
Sido targets entrepreneurs in funding
10 years ago
Mwananchi02 Dec
NSSF kuanza kukopesha wastaafu wake