Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sido yaja na mpango wa kukopesha

UNAPOTAKA kufanya biashara yoyote lazima uwe na mtaji. Kwa bahati mbaya wajasiriamali wengi wanaposema mtaji wana maana fedha za kununulia bidhaa watakazouza au huduma watakayotoa kwa malipo ambayo kwa kweli...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BRIGHTERMONDAY TANZANIA YAJA NA MPANGO KUSAIDIA BIASHARA KIPINDI CHA CORONA


Reshma Bharmal-Shariff, Ofisa Mtendaji Mkuu BrighterMonday Tanzania.
KAMPUNI ya ajira ya BrighterMonday Tanzania imezindua mpango unaoitwa 'Umoja Wakati wa Shida ' ambao utatoa nafasi kwa watu binafsi au kampuni kutangaza ajira bure katika kipindi hiki ambacho nchi inapambana na maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kupitia kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wake, Reshma Bharmal-Shariff ilieleza kuwa kampeni hiyo inalenga...

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAJA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KAYA KWA KAYA

 Mwakilishi wa Kaimu Mkuruegenzi Mkuu wa NHIF, Eugen Mikongoti akifungua kikao kilichowashirikisha wenyeviti wa bodi na makatibu wa Vituo Vya Afya, Zahanati na Hospitali wa Manispaa ya Temeke juu ya mpango wa bima ya afya kwa kayo iliyofanyika leo jijni Dar es Salaam. Meneja wa Mkoa wa Temeke wa NHIF, Costantino Makala akitoa maada katika kikao hicho leo latika ukumbi wa Temeke jijini Dra es Salaam.wa katikati ni Mwakilishi wa Kaimu Mkuruegenzi Mkuu wa NHIF,Eugen Mikongoti Kushoto ni Mganga...

 

9 years ago

Mwananchi

Benki ya Mwanga kukopesha walalahoi

Benki ya Wananchi Mwanga (MCBL), mkoani Kilimanjaro inakusudia kuongeza fedha za mikopo kwa wajasiriamali wadogo baada ya kupata faida kubwa katika kipindi cha mwaka 2013/14.

 

11 years ago

Tanzania Daima

NMB yapongezwa kukopesha wajasiriamali

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, ameisifia Benki ya NMB kwa kukopesha wajasiriamali na kuwataka waendeele kutoa mikopo ili kukomboa sekta ya biashara nchini. Pinda alitoa kauli hiyo juzi alipotembelea banda la...

 

11 years ago

Habarileo

PSPF, TPB kukopesha wastaafu

MFUKO wa Pensheni wa PSPF kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania (TPB) wamezindua mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu.

 

11 years ago

Habarileo

NSSF kukopesha wakulima wa kahawa

WAKULIMA za zao la Kahawa wanatarajia kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoani Kilimanjaro, kuboresha zao hilo, ambalo limekumbwa na changamoto mbalimbali.

 

10 years ago

Mwananchi

Sido, Finland kuinua wazalishaji

Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido), limesema kuwa mpango maalumu wa kuwawezesha wazalishaji wa embe, asali na viungo nchini utasaidia kuwainua watanzania na kuingia katika soko la kimataifa, hivyo kuleta manufaa kwa taifa.

 

9 years ago

TheCitizen

Sido targets entrepreneurs in funding

The Small Industries Development Organisation (Sido) will launch a new centre for packaging, an entrepreneurship development fund, technology leasing services and an SME portal in 2016.

 

10 years ago

Mwananchi

NSSF kuanza kukopesha wastaafu wake

 Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wanatarajia kunufaika na mikopo ya riba nafuu kutoka Benki ya Posta itakayoanza kutolewa kuanzia mwezi huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani