NSSF kuanza kukopesha wastaafu wake
 Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wanatarajia kunufaika na mikopo ya riba nafuu kutoka Benki ya Posta itakayoanza kutolewa kuanzia mwezi huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dqWjCGatDiY/U9QFPZ2m1GI/AAAAAAABELU/nJmGxWOUh-8/s72-c/1Z.jpg)
NSSF YAFUTURISHA WASTAAFU WAKE MKOA WA TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-dqWjCGatDiY/U9QFPZ2m1GI/AAAAAAABELU/nJmGxWOUh-8/s1600/1Z.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KWu5nZ1yoGc/U9QF1S_e0GI/AAAAAAABEMk/NpX0YB6V-dE/s1600/2n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ga5pZ7JGR2c/U9QIXPSIyxI/AAAAAAABEPs/vZneMj25HTg/s1600/7n.jpg)
11 years ago
Habarileo21 Jun
PSPF, TPB kukopesha wastaafu
MFUKO wa Pensheni wa PSPF kwa kushirikiana na Benki ya Posta Tanzania (TPB) wamezindua mpango maalumu wa kutoa mikopo kwa wastaafu.
11 years ago
Habarileo28 Apr
NSSF kukopesha wakulima wa kahawa
WAKULIMA za zao la Kahawa wanatarajia kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoani Kilimanjaro, kuboresha zao hilo, ambalo limekumbwa na changamoto mbalimbali.
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
NSSF, Singida yatumia Bilioni 1.52 kukopesha vikundi sita vya wajasiriamali
Meneja wa shirika na hifadhi ya jamii NSSF, Magreth Mwaipeta akizungumza na wanachama wa kikundi cha Aminika gold Mine Ltd cha Sambaru Wilaya ya Ikungi, Singida.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.52 kwa ajili ya kuvikopesha vyama sita vya ushirika Mkoani Singida.
Hayo yamebainishwa jana mjini hapa na Meneja wa NSSF Mkoa wa Singida, Magreth Mwaipeta wakati akizungumza kwenye semina ya uhabarisho baina ya shirika la...
10 years ago
MichuziWASTAAFU WA NSSF MKOA WA TEMEKE WAAGWA RASMI
9 years ago
MichuziWASTAAFU WA JWTZ WAKIFANYA USAJILI WA NSSF MKOANI MOROGORO
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Wastaafu kuanza kukopeshwa fedha
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5
Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]
The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...
11 years ago
MichuziNSSF MEDIA CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI MACHI 29