Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASTAAFU WA NSSF MKOA WA TEMEKE WAAGWA RASMI

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa shirika hilo kutoka ofisi ya mkoa wa Temeke.
Meneja Kiongozi mpya wa Ofisi ya NSSF Mkoa wa Temeke, Chedrick Komba akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa NSSF. Mstaafu wa NSSF, Brahan Newa kutoka Kitengo cha Takwimu akisalimiana na mstaafu mwenzake, aliyekuwa Meneja Kiongozi, Ofisi ya NSSF mkoa wa Temeke, Yahya Mhamali wakati wa hafla ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Makatibu wakuu wastaafu katika wizara mbalimbali waagwa rasmi Jijini Dar

1.

Naibu Katibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Seth Kamuhanda aliyestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.

2.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti...

 

11 years ago

Michuzi

NSSF YAFUTURISHA WASTAAFU WAKE MKOA WA TANGA

Principle Operation Officer wa NSSF, Joyce Mruma akigawa zawadi kwa wastaafu wa NSSF wakati wa hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na shirika hilo. Ofisa Mwandamizi wa Operesheni wa NSSF, Lydia Ignace akitoa zawadi kwa wastaafu wa Shirika hilo waliohudhuria hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na NSSF kwa ajili ya wastaafu wa Mkoa wa Tanga.Principle Operation Officer wa NSSF, Joyce Mruma akitoa zawadi kwa mstaafu wa NSSF, Bella Antao wakati wa hafla ya kufuturisha wastaafu wa Shirika ...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF MKOA WA TEMEKE YAWAPA SEMINA WAAJIRI WAKE KUHUSIANA NA MOBORESHO YA HUDUMA WANAZOTOA

Meneja Kiongozi wa NSSF Mkoa wa Temeke, Yahya Mhamali akizungumza wakati wa semina iliyoandaliwa na Mkoa wa NSSF Temeke kwa Waajiri wake ambayo ilihudhuriwa na Maofisa Rasirimali Watu pamoja na Wahasibu kwa ajili ya uelewa kuhusu moboresho ya formula mpya ya pensheni ambayo imetolewa na SSRA pamoja na huduma zilizoboreshwa kwa kiwango cha Kimatifa kwa NSSF Temeke (ISO). Semina hiyo imefanyika leo jijini Dar es Salaam. Wa tatu kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius...

 

10 years ago

Michuzi

WASTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA WAAGWA RASMI LEO MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAGEREZA JIJINI DAR

Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja akitoa nasaha fupi katika hafla fupi ya kuwaaga Wastaafu wa Jeshi la Magereza ambao wamestaafu rasmi Utumishi wa Umma tangu Julai 1, 2014. Hafla hiyo imefanyika leo Septemba 19, 2014 Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, Jijini Dar es Salaam. Wastaafu wa Jeshi la Magereza(katika picha) wakiwa na familia zao wakimsikiliza Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja(hayupo pichani) wakati akitoa nasaha fupi kwa Wastaafu hao ambao wamestaafu...

 

10 years ago

GPL

MAJENERALI 12 WASTAAFU WA JWTZ WAAGWA DAR

Wastaafu na viongozi wa juu wa jeshi wakiwa katika meza kuu. Meja Jenerali Chalres Jitenga (kushoto) Meja Jenerali mstaafu Hassan Chema (katikati) na Luteni Jenerali, Charles Makakala.…

 

10 years ago

GPL

MWILI WA MAMA MZAZI WA KULWA MWAIBALE WAAGWA HOSPITALI YA TEMEKE

Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu, likiwa ndani ya Hospitali ya Temeke, muda mfupi kabla ya kuagwa kwa safari ya kuelekea Mbeya kwa mazishi. Picha ya marehemu enzi za uhai wake. Waombolezaji wakibeba jeneza lenye mwili wa marehemu, kuelekea kwenye gari, tayari kwa safari ya kuelekea Mbeya kwa mazishi.…

 

10 years ago

Mwananchi

NSSF kuanza kukopesha wastaafu wake

 Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wanatarajia kunufaika na mikopo ya riba nafuu kutoka Benki ya Posta itakayoanza kutolewa kuanzia mwezi huu.

 

9 years ago

Michuzi

WASTAAFU WA JWTZ WAKIFANYA USAJILI WA NSSF MKOANI MOROGORO

Kusajiliwa wastaafu wa jeshi.
 Ofisa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),mkoa wa Morogoro, Abdul Mzee ( kushoto) akichukua alama ya vidole kwa Mwanachama wa  Muungano  wa wanajeshi wastaafu Tanzania (MUWAWATA), Luteni mstaafu, Josephat Mtema, sept 13, mwaka huu ,ili kujiunga na NSSF kwa mfumo wa kuchangia kwa hiari kwa ajili ya  kunufaika na huduma za mfuko huo ikiwa na matibabu wakati walipokuwa katika mkutano wa kawaida wa siku mbili uliofanyika Bwalo la Umwema ,mjini...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Ndugu Sophia Mjema akilakiwa na Dkt. Martha Kisanga, Meneja wa Kanda ya Pwani wa Shirika la Engender Health mara baada ya kuwasili kwenye eneo la Shule ya Sekondari Kibasila kwa ajili ya kufunga rasmi mafunzo ya siku 5 yaliyohusu mradi wa kuzuia mimba za utotoni katika Shule za Sekondari katika Wilaya ya Temeke tarehe 17.4.2015. Waliosimama katikati ni Ndugu Donald Siliva, Afisa-Elimu Sekondari, Wilaya ya Temeke na Dkt. Sarah Maongezi, Mkurugenzi wa Afya kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani