Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NSSF YAFUTURISHA WASTAAFU WAKE MKOA WA TANGA

Principle Operation Officer wa NSSF, Joyce Mruma akigawa zawadi kwa wastaafu wa NSSF wakati wa hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na shirika hilo. Ofisa Mwandamizi wa Operesheni wa NSSF, Lydia Ignace akitoa zawadi kwa wastaafu wa Shirika hilo waliohudhuria hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na NSSF kwa ajili ya wastaafu wa Mkoa wa Tanga.Principle Operation Officer wa NSSF, Joyce Mruma akitoa zawadi kwa mstaafu wa NSSF, Bella Antao wakati wa hafla ya kufuturisha wastaafu wa Shirika ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WASTAAFU WA NSSF MKOA WA TEMEKE WAAGWA RASMI

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius Magori akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa shirika hilo kutoka ofisi ya mkoa wa Temeke.
Meneja Kiongozi mpya wa Ofisi ya NSSF Mkoa wa Temeke, Chedrick Komba akizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu wa NSSF. Mstaafu wa NSSF, Brahan Newa kutoka Kitengo cha Takwimu akisalimiana na mstaafu mwenzake, aliyekuwa Meneja Kiongozi, Ofisi ya NSSF mkoa wa Temeke, Yahya Mhamali wakati wa hafla ya...

 

10 years ago

Mwananchi

NSSF kuanza kukopesha wastaafu wake

 Wastaafu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wanatarajia kunufaika na mikopo ya riba nafuu kutoka Benki ya Posta itakayoanza kutolewa kuanzia mwezi huu.

 

10 years ago

Michuzi

NSSF MKOA WA TEMEKE YAWAPA SEMINA WAAJIRI WAKE KUHUSIANA NA MOBORESHO YA HUDUMA WANAZOTOA

Meneja Kiongozi wa NSSF Mkoa wa Temeke, Yahya Mhamali akizungumza wakati wa semina iliyoandaliwa na Mkoa wa NSSF Temeke kwa Waajiri wake ambayo ilihudhuriwa na Maofisa Rasirimali Watu pamoja na Wahasibu kwa ajili ya uelewa kuhusu moboresho ya formula mpya ya pensheni ambayo imetolewa na SSRA pamoja na huduma zilizoboreshwa kwa kiwango cha Kimatifa kwa NSSF Temeke (ISO). Semina hiyo imefanyika leo jijini Dar es Salaam. Wa tatu kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius...

 

9 years ago

Michuzi

WASTAAFU WA JWTZ WAKIFANYA USAJILI WA NSSF MKOANI MOROGORO

Kusajiliwa wastaafu wa jeshi.
 Ofisa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),mkoa wa Morogoro, Abdul Mzee ( kushoto) akichukua alama ya vidole kwa Mwanachama wa  Muungano  wa wanajeshi wastaafu Tanzania (MUWAWATA), Luteni mstaafu, Josephat Mtema, sept 13, mwaka huu ,ili kujiunga na NSSF kwa mfumo wa kuchangia kwa hiari kwa ajili ya  kunufaika na huduma za mfuko huo ikiwa na matibabu wakati walipokuwa katika mkutano wa kawaida wa siku mbili uliofanyika Bwalo la Umwema ,mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

MCL yafuturisha mawakala wake

Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa mara ya kwanza imewafuturisha mawakala wanaouza magazeti yake.

 

11 years ago

Michuzi

PPF YAFUTURISHA WAFANYAKAZI WAKE

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, akitoa hotuba kwa wafanyakazi wa Mfuko huo baada ya futari iliyoandaliwa na Ofisi yake kwa wafanyakazi wake kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio(Wapili kushoto) na baadhi ya wajumbe wa bodi ya wadhamini ya Mfuko huo, wakishiriki futari iliyoandaliwa na ofisi yake kwa wafanyakazi wa PPF kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa...

 

11 years ago

GPL

PPF YAFUTURISHA WAFANYAKAZI WAKE‏

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, akipakua chakula wakati wa futari iliyoandaliwa na ofisi yake katika hoteli ya serena jana. Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakichukua chakula wakati wa futari iliyoandaliwa na Mfuko huo wa Pensheni wa PPF jana.…

 

11 years ago

GPL

MKUU WA MKOA TANGA MGENI RASMI MISS TANGA 2014

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Luteni Mstaafu Mheshimiwa Chiku Gallawa
Washiriki wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014
Kumekucha Tanga…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani