Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sido, Finland kuinua wazalishaji

Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido), limesema kuwa mpango maalumu wa kuwawezesha wazalishaji wa embe, asali na viungo nchini utasaidia kuwainua watanzania na kuingia katika soko la kimataifa, hivyo kuleta manufaa kwa taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JK salutes the President of the Republic of Finland on the occasion of the 97th Anniversary of Finland’s Independence

H.E. Sauli Niinisto, President of Finland

H.E President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.E. Sauli Niinisto, the President of the Republic of Finland on the occasion of the 97th Anniversary of Finland’s Independence on              6th December, 2014.“His Excellency Sauli Niinisto,

   The President of the Republic of Finland,

   Helsinki,

   FINLAND.

It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic...

 

11 years ago

Mwananchi

Wazalishaji wa ndani zingatieni ubora

Ijumaa iliyopita Rais Jakaya Kikwete alitoa Tuzo ya ‘Mzalishaji Bora wa Mwaka’ kwa wazalishaji wa ndani. Wawakilishi wa viwanda mbalimbali walikuwapo kabla Jumbo Plastics hajatambulishwa kama washindi wa jumla wa tuzo hizo kwa mwaka 2013.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazalishaji chumvi watengewa mil 62/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi imetenga sh. milioni 62.8 kwa ajili ya kuwakopesha kinamama na vijana wanaozalisha chumvi kwa mwaka wa fedha 2014/15. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazalishaji wa matanki wapewa somo

WAZALISHAJI  wa bidhaa za kuhifadhia maji nchini wametakiwa kupanua wigo wa soko na kuenea hadi maeneo ya vijijini ili kuwakomboa wananchi wanaotaabika kutokana na kero ya maji. Rai hiyo ilitolewa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ubepari unawakandamiza wazalishaji wadogo’

Ingawa takwimu zinaonyesha uchumi wa Tanzania unakua kwa zaidi ya asilimia 7, maisha ya Watanzania wengi hayalingani na hali ilivyo.

 

5 years ago

Michuzi

Wazalishaji watakiwa kuzingatia viwango

Na Mwandishi  Wetu, Singida

WAZALISHAJI wa bidhaa mbalimbali mkoani Singida wametakiwa kutambua kuwa suala la viwango ni la kisheria hivyo ni lazima kuthibitisha ubora wa bidhaa ili kumlinda mlaji na kupata uhakika wa soko la bidhaa wanazozizalisha.

Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu  wa Mkoa wa Singida Mhe. Dkt Rehema Nchimbi alipokuwa akifungua mafunzo ya wazalishaji wa bidhaa za vyakula yakiwemo mafuta ya alizeti na wauzaji wa vipodozi na vyakula yaliyofanyika katika ukumbi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wazalishaji sukari watishia kufunga viwanda

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher ChizaWAZALISHAJI wa sukari nchini wametishia kufunga viwanda vyao iwapo Serikali itashindwa kuchukua uamuzi sahihi utakaosaidia kunusuru viwanda vya ndani kwa manufaa ya sera ya kukuza uchumi wa wananchi na taifa.

 

10 years ago

StarTV

Wazalishaji, wasambazaji waaswa kuingiza Sukari sokoni

Na Neema Ndetto,

Dar es Salaam

 

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imewaagiza wazalishaji na wasambazaji wakubwa wa sukari nchini kuingiza Sukari sokoni na kuhakikisha inapatikana kwa bei ambayo watanzania wanaweza kuimudu.

 

Maagizo hayo yametolewa baada ya Serikali kuzuia sukari ya nje kuuzwa hapa nchini hali iliyosababisha kupanda kwa bei ya sukari kati ya shilingi 2500 hadi 3000.

cialis nitrato

 

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Waziri wa Kilimo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sido yaja na mpango wa kukopesha

UNAPOTAKA kufanya biashara yoyote lazima uwe na mtaji. Kwa bahati mbaya wajasiriamali wengi wanaposema mtaji wana maana fedha za kununulia bidhaa watakazouza au huduma watakayotoa kwa malipo ambayo kwa kweli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani