Kocha mashakani kwa kuwabagua wachezaji
Kocha wa klabu moja ya kandanda nchini Ufaransa anakabiliwa na shutuma kali kufuatia matamshi yake ya ubaguzi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Kocha akerwa na mapambo ya wachezaji
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Kocha wa Azam FC awashukia wachezaji wake
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Wachezaji Coastal Union wamkuna Kocha Chipo
KOCHA wa timu ya Coastal Union ya Tanga, Yusuf Chipo amesema ameridhika na kiwango cha vijana wake baada ya kuwafunga Shaba FC ya Pemba mabao 5-1 katika mechi ya kirafiki...
10 years ago
Mwananchi27 May
UTEUZI WA WACHEZAJI: Kocha Nooij akumbuka shuka kumekucha...
11 years ago
Mwananchi03 Jul
BRAZIL 2014: Kocha Marekani asifia uwezo wachezaji wake
9 years ago
StarTV17 Nov
 Kombe La Challenge Kocha Kibaden atangaza kikosi cha wachezaji 21.
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’, Abdallah Kibadeni ametangaza kikosi cha wachezaji 21 kujiandaa na michuano ya Kombe la Chalenji itakayoanza kutimua vumbi Jumamosi Novemba 21, nchini Ethiopia.
Kibadeni anayesaidiwa na kocha Juma Mgunda, amesema wachezaji aliowaita wapo katika hali nzuri na wamekua wakifanya mazoezi na kikosi cha Taifa Stars ambao kama benchi la ufundi wamepata nafasi ya kuwa nao kwa muda mrefu na kutambua maendeleo yao.
Muda wa kutengana...
9 years ago
Habarileo25 Aug
Kocha Twiga Stars afurahia kiwango cha wachezaji wake
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amesema mchezo wa kirafiki dhidi ya Kenya ‘Harambee Starlets’ umemsaidia kugundua makosa ambayo atayafanyia kazi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bRRgQskcmmM/VUtVkBdLwVI/AAAAAAAHV-I/SmEAtIe2wFU/s72-c/kochaaaa.jpg)
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28
![](http://3.bp.blogspot.com/-bRRgQskcmmM/VUtVkBdLwVI/AAAAAAAHV-I/SmEAtIe2wFU/s640/kochaaaa.jpg)
Tanzania (Taifa Stars), Mart NooijKocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28 watakaoingia kambini katika hoteli ya Tansoma iliyo eneo la Gerezani jijini Dar es salaam, kujiandaa na michuano ya kombe la COSAFA na kuwania kufuzu kwa AFCON na CHAN mwezi Juni mwaka huu. Akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF amesema, wachezaji 28 aliowaita, amewaona kwa...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka …
Headlines za Jose Mourinho kuhusishwa kukaribia kujiunga na klabu ya Manchester United bado zinazidi kushika kasi sehemu mbalimblia, kwa wapenzi na mashabiki wa soka duniani kote kwa sasa vijiwe vyao mara nyingi mada kuu ni Louis van Gaal na Jose Mourinho. December 25 Mtu wangu wa nguvu nimekutana na list kutoka sokka.com ya wachezaji watano wa […]
The post Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka … appeared first on...