Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTEUZI WA WACHEZAJI: Kocha Nooij akumbuka shuka kumekucha...

>Baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)  kuweka bayana kuwa kibarua cha kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij kitasitishwa iwapo timu hiyo itashindwa kufuzu mashindano ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (CHAN), Mdachi huyo ameamua kuwaita wachezaji waliopendekezwa na baadhi ya wadau wa soka nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kocha Mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28


Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya
Tanzania (Taifa Stars), Mart NooijKocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mart Nooij leo ametangaza kikosi cha wachezaji 28 watakaoingia kambini katika hoteli ya Tansoma iliyo eneo la Gerezani jijini Dar es salaam, kujiandaa na michuano ya kombe la COSAFA na kuwania kufuzu kwa AFCON na CHAN mwezi Juni mwaka huu. Akiongea na waandishi wa habari leo makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF amesema, wachezaji 28 aliowaita, amewaona kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM inakumbuka shuka wakati kumekucha

MWANAHARAKATI Martine Luther King, aliwahi kusema, “ukimya wa rafiki yako unaumiza sana kuliko kelele za adui yako”. Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyotakiwa iwe rafiki wa wananchi kwa muda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mart Nooij alia na wachezaji Stars

WAKATI kikosi cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Satrs kikirejea nchini jana kutoka Msumbiji, Kocha Mkuu Mart Nooij, amesema moja ya sababu kuu za kikosi chake kupoteza mechi dhidi...

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa heri Nooij, lakini tatizo letu wachezaji

Watanzania ni hodari wa kuwashutumu makocha, walifanya hivyo kwa Marcio Maximo wakimwambia Mbrazili huyo aliwaacha meishiwa kwa kushindwa kumwacha Juma Kaseja, Athuman Idd na Haruna Moshi ‘Boban’ na kwamba hiyo kuwa ndiyo sababu ya Taifa Stars kushindwa kufuzu kwa fainali Afcon 2010, akatimuliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Nooij ajiweka njiapanda TFF

Timu ya Taifa ya soka, Taifa Stars, sasa ndiyo habari ya mjini. Kufanya vibaya kwa timu hiyo kwenye Mashindano ya Nchi za Kusini mwa Afrika (Cosafa) ilikoalikwa, kumewafanya wadau wa soka nchini kuiponda, wengine wakitupa lawama kwa kocha Mart Ignatius Nooij, wakitaka afukuzwe.

 

11 years ago

Michuzi

WASIWASI UMEIGHARIMU TAIFA STARS- KOCHA NOOIJ

Kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij amesema moja ya sababu za kikosi chake kupoteza mechi dhidi ya Msumbiji (Mambas) ni wachezaji wake kucheza kwa wasiwasi katika kipindi cha kwanza.
Taifa Stars iliruhusu bao la kwanza sekunde chache kabla ya kumalizika kipindi cha kwanza katika mechi ya marudiano ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kutafuta tiketi ya kucheza hatua ya makundi iliyochezwa leo (Agosti 3 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa wa Zimpeto hapa Maputo.
Bao hilo katika mechi hiyo...

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA NOOIJ KUTAJA KIKOSI CHA STARS NOVEMBA 4

Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Mart Nooij keshokutwa (Novemba 5 mwaka huu) atatangaza kikosi cha timu hiyo kwa ajili ya mechi ya kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) itakayochezwa ugenini Novemba 16 mwaka huu.
Nooij atatangaza kikosi hicho mbele ya waandishi wa habari katika mkutano utakaofanyika saa 4.30 asubuhi kwenye ofisi za TFF zilizoko ghorofa ya tatu, Jengo la PPF Tower jijini Dar es Salaam.
Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager itacheza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Jata na ZJA wapinga uteuzi wachezaji judo

Dar es Salaam. Kamati ya Ufundi ya Chama cha Judo visiwani Zanzibar (ZJA) na ile ya Tanzania Bara (JATA) zimeingia katika mgogoro juu ya uteuzi wa mchezaji anayedaiwa kuwa na miaka 45, kwa ajili ya kushiriki michezo ya Jumuiya ya Madola.

 

10 years ago

Vijimambo

CHARLES BONIFACE MKWASA ATANGAZWA KUWA KOCHA MPYA STARS NA NOOIJ AWAGA WATANZANIA

 Rais wa TFF Jamal Malinzi akizungumza na waandishi wa habari wakati akimtangaza kocha mpya wa Stars, Charles Boniface Mkwasa. (Picha na Francis Dande) Aliyekuwa kocha wa timu ya taifa 'Taifa Stars', Mart Nooij akizungumza na waandishi wa habari baada ya kibarua chake kuota mbawa.
 Rais wa TFF akitangaza kocha mpya wa taifa stars, Charles Boniface Mkwasa. Aliyekuwa kocha wa timu ya taifa 'Taifa Stars', Mart Nooij akitafakari jambo wakati malinzi akitangaza nafasi yake kuchukuliwa na kocha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani