CCM inakumbuka shuka wakati kumekucha
MWANAHARAKATI Martine Luther King, aliwahi kusema, “ukimya wa rafiki yako unaumiza sana kuliko kelele za adui yako”. Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyotakiwa iwe rafiki wa wananchi kwa muda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 May
UTEUZI WA WACHEZAJI: Kocha Nooij akumbuka shuka kumekucha...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fhPkHxi7tCQ/VZDjz7gZQHI/AAAAAAAAgLM/cugcqdqqpXc/s72-c/1.png)
KUMEKUCHA CCM,MKAPA,MWINYI WAJITOSA "KUCHINJA" MAJINA YA WATAKA URAIS CCM,
![](http://3.bp.blogspot.com/-fhPkHxi7tCQ/VZDjz7gZQHI/AAAAAAAAgLM/cugcqdqqpXc/s640/1.png)
Zikiwa zimebaki siku 9 kabla ya kamati kuu ya chama mapinduzi CCM akijakutana kwa ajili ya “kufyeka” majina 37 kati ya 42 ya makada wake waliojitokeza na kuwania Urais ndani ya chama hicho,sasa jukumu lingine lawaangukia viongozi wastaafu wa chama hicho.Anaandika KAROLI VINSENT endelea nayo.Viongozi hao ambao ni marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa ambao wote kwa pamoja wataunda Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kufanya kikao wakati wowote wiki hii...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uev3ekxrwFQ/VYGHQHrvAiI/AAAAAAAHgic/QlfRrxvgsic/s72-c/blogger-image--1893807411.jpg)
CCM KUMEKUCHA JAJI RAMADHARA AVURUGA MWELEKEO WA WAGOMBEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uev3ekxrwFQ/VYGHQHrvAiI/AAAAAAAHgic/QlfRrxvgsic/s320/blogger-image--1893807411.jpg)
CV YA JUDGE RAMADHANI Nimezaliwa Desemba 28, mwaka 1945 Zanzibar mjini nikiwa ni mtoto wa pili kati ya watoto wanane, wa kike wanne na wanaume wanne. Ni Mkristo wa dhehebu la Anglikana.
Nimesoma shule mbalimbali za msingi Mpwapwa mkoani Dodoma 1952 -1953 nikaenda Town School-Tabora nikasoma darasa la tatu hadi la nne mwaka 1954-1956 na darasa la sita na saba nilisoma Kazel Hill sasa inatwa Shule ya Msingi Itetemia mwaka 1957-1958. Na darasa la nane tu mwaka 1959 nikarudi...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kumekucha Uchaguzi Mkuu 2015, Lowassa atikisa CCM, upinzani
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s72-c/1.jpg)
Urais 2015 kumekucha CCM: Makongoro Nyerere naye kutangaza nia Butiama
![](http://2.bp.blogspot.com/-YllZww4Up88/VWczIVqfgyI/AAAAAAAAeDY/0i9b4xs7M1A/s640/1.jpg)
Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka huu yaani siku ya jumatatu.
Makongoro nyerere ameungana na Waziri Prof. Mark...
9 years ago
Dewji Blog23 Aug
Kumekucha uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu CCM, Viwanja vya Jangwani leo
Katibu Muenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Juma ‘Gadafi’ akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisi kwake uliofanyika mapema Agosti 22, kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya uzinduzi wa mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu wa chama hicho utaofanyika leo viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-fsXeJ1Xshxo/VeNxdL2ObII/AAAAAAAAJ_M/KQ1FqdgXoc8/s72-c/Image%2B%25283%2529%2Bcopy.jpg)
FAMILIA YA ELIABU MWISA INAKUMBUKA MIAKA KUMI (10) TANGU KUTOKWA NA MAMA MPENDWA SUBILAGA KISYALA (2005-2015)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fsXeJ1Xshxo/VeNxdL2ObII/AAAAAAAAJ_M/KQ1FqdgXoc8/s1600/Image%2B%25283%2529%2Bcopy.jpg)
Mpendwa wetu uliondoka na kuacha Baba na watoto wake Watano walio kuwa bado wanahitaji huruma na upendo wako, Daima hautafutika katika akili zao hakuna kama mama hakika upendo wa mama katika maisha ya kila siku unahitajika sana,
Wanapo sema kila alipo Mama mmoja kuna mafanikio hilo...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Ni wakati wa kusikia nguvu ya rushwa CCM
KATIKA kitabu chake cha Nyufa chenye hotuba aliyoitoa Machi 13, 1995, Mwalimu Nyerere ametaja nyufa tano zilizoikumba nchi ambapo alisema kuwa ufa wa nne ni rushwa ndani ya CCM na...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Dk Kigwangala apata wakati mgumu kuitetea CCM