CCM KUMEKUCHA JAJI RAMADHARA AVURUGA MWELEKEO WA WAGOMBEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uev3ekxrwFQ/VYGHQHrvAiI/AAAAAAAHgic/QlfRrxvgsic/s72-c/blogger-image--1893807411.jpg)
CV YA JUDGE RAMADHANI Nimezaliwa Desemba 28, mwaka 1945 Zanzibar mjini nikiwa ni mtoto wa pili kati ya watoto wanane, wa kike wanne na wanaume wanne. Ni Mkristo wa dhehebu la Anglikana.
Nimesoma shule mbalimbali za msingi Mpwapwa mkoani Dodoma 1952 -1953 nikaenda Town School-Tabora nikasoma darasa la tatu hadi la nne mwaka 1954-1956 na darasa la sita na saba nilisoma Kazel Hill sasa inatwa Shule ya Msingi Itetemia mwaka 1957-1958. Na darasa la nane tu mwaka 1959 nikarudi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Jun
Jaji Ramadhani awavuruga wagombea urais CCM
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Jaji Warioba awananga wagombea urais CCM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vr0BOEjG0eA/XvHfAIHn14I/AAAAAAALvDY/sxgh1UOMP600sJnERUt1vv3vuLtYJMMxQCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
ZANZIBAR KUMEKUCHA WAGOMBEA WAANZA KURUDISHA FOMU ZA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-vr0BOEjG0eA/XvHfAIHn14I/AAAAAAALvDY/sxgh1UOMP600sJnERUt1vv3vuLtYJMMxQCLcBGAsYHQ/s640/9.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8r_Q6TGsiJA/XvHe9sQyUDI/AAAAAAALvDQ/d0w6XM62Qv0b6D_ouQpmB6URWly4w_X1wCLcBGAsYHQ/s640/Hija%2Bfomu%2B2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fhPkHxi7tCQ/VZDjz7gZQHI/AAAAAAAAgLM/cugcqdqqpXc/s72-c/1.png)
KUMEKUCHA CCM,MKAPA,MWINYI WAJITOSA "KUCHINJA" MAJINA YA WATAKA URAIS CCM,
![](http://3.bp.blogspot.com/-fhPkHxi7tCQ/VZDjz7gZQHI/AAAAAAAAgLM/cugcqdqqpXc/s640/1.png)
Zikiwa zimebaki siku 9 kabla ya kamati kuu ya chama mapinduzi CCM akijakutana kwa ajili ya “kufyeka” majina 37 kati ya 42 ya makada wake waliojitokeza na kuwania Urais ndani ya chama hicho,sasa jukumu lingine lawaangukia viongozi wastaafu wa chama hicho.Anaandika KAROLI VINSENT endelea nayo.Viongozi hao ambao ni marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa ambao wote kwa pamoja wataunda Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kufanya kikao wakati wowote wiki hii...
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
CCM inakumbuka shuka wakati kumekucha
MWANAHARAKATI Martine Luther King, aliwahi kusema, “ukimya wa rafiki yako unaumiza sana kuliko kelele za adui yako”. Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyotakiwa iwe rafiki wa wananchi kwa muda...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo
Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio
The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kumekucha Uchaguzi Mkuu 2015, Lowassa atikisa CCM, upinzani
9 years ago
Dewji Blog23 Aug
Kumekucha uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu CCM, Viwanja vya Jangwani leo
Katibu Muenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Juma ‘Gadafi’ akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisi kwake uliofanyika mapema Agosti 22, kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya uzinduzi wa mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu wa chama hicho utaofanyika leo viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.