FAMILIA YA ELIABU MWISA INAKUMBUKA MIAKA KUMI (10) TANGU KUTOKWA NA MAMA MPENDWA SUBILAGA KISYALA (2005-2015)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fsXeJ1Xshxo/VeNxdL2ObII/AAAAAAAAJ_M/KQ1FqdgXoc8/s72-c/Image%2B%25283%2529%2Bcopy.jpg)
SASA ni miaka kumi Tangu alipo tutoka mpendwa wetu Subilaga Kisyala mwaka 2005 Agosti Familia, Ndugu, na Jamaa tutakukumbuka Daima Kwa mema uliyo tutendea ulupo kuwa hai, Alizaliwa mwaka 1968 na kufariki 2005
Mpendwa wetu uliondoka na kuacha Baba na watoto wake Watano walio kuwa bado wanahitaji huruma na upendo wako, Daima hautafutika katika akili zao hakuna kama mama hakika upendo wa mama katika maisha ya kila siku unahitajika sana,
Wanapo sema kila alipo Mama mmoja kuna mafanikio hilo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLTFDA YAZUNGUMZIA MAFANIKO YAKE TANGU 2005 HADI 2015
11 years ago
CloudsFM29 May
DULLY SYKES ATIMIZA MIAKA KUMI NA TANO TANGU AINGIE KWENYE MUZIKI WA BONGO FLEVA
STAA wa Bongo Fleva,Dully Sykes mwaka huu ametimiza miaka 15 tangu aingie kwenye muziki wa Bongo Fleva na ngoma yake ya Julieta ambayo ilihit kwenye redio station zote za hapa nchin,baadaye zikaja Salome,Nyambizi na nyinginezo mpaka leo msanii huyo ameweza kuendelea kuwepo kwenye game ukizingatia ni msanii wa mwanzo wa muziki huo wa bongo fleva.
Ndani ya miaka hiyo kumi na tano Dully ana miliki mijengo, ana watoto watatu, ana album mbili za Historia ya kweli 2002, pamoja na Handsome 2003,...
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
THT kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, tarehe 31/1/2015, Escape 1
Meneja Mkuu wa Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji, Tanzania House of Talent (THT), Mwita Mwaikenda akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar leo.
Kufungua kampuni ya ushonaji na ubunifu wa mavazi
Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji, Tanzania House of Talent, kinatarajia kuadhimisha miaka kumi toka kuanzishwa kwake hapo tarehe 31/1/2015 Escape 1 jijini Dar es Salaam.
THT ilianzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji, lakini wasio na uwezo wa...
10 years ago
MichuziTAARIFA YA MAFANIKIO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE KWA MIAKA MITANO TANGU 2010-2015
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Mr. Blue: Tangu niwe na familia nimebadilika sana
HERRY Sameer maarufu kama Mr. Blue ni mmoja kati ya wasanii wa muda mrefu ambao bado wanafanya muziki na wenye mashabiki wengi ndani na nje ya nchi.
Alipata umaarufu baada ya kutoa wimbo uitwao ‘Mr. Blue’ ambao ulimjengea jina katika tasnia ya muziki wa Bongo fleva na kuendelea kutoa nyimbo nyingine kama Mapozi zilizofanya vizuri kwenye chati za muziki huo.
Kazi za Mr.Blue bado zinakubalika ikiwa siku hizi amejikita zaidi kwenye muziki wa Hip Hop akiwa na kundi lao la...
9 years ago
VijimamboIBADA YA KUMUOMBEA MPENDWA MAMA KETANG'ANYENYI
Broadcast live streaming video on Ustream
Broadcast live streaming video on Ustream
Padri Lehandly Kimario akiongoza ibada ya kumuombea mpendwa dada, mama na bibi yetu Bettisheba Pole Ketang'enyi iliyofanyika siku ya Jumapili Octoba 4, 2015 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.
Mtoto wa marehemu Felicia Simms akisoma wasifu wa marehemu katika ibada ya kumuombea mpendwa dada, mama, bibi Bettisheda Pole Keteng'enyi iliyofanyika siku ya Jumapili Octoba 4, 2015 Silver Spring, Maryland...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-3RJKVvYUGXY/VgxcM47towI/AAAAAAAD_J4/nCb1SG3-leE/s72-c/b4a6297d3516cc010eda1174237cbdd5.jpg)
IBADA YA MAOMBI YA MPENDWA MAMA YETU DMV JUMAPILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3RJKVvYUGXY/VgxcM47towI/AAAAAAAD_J4/nCb1SG3-leE/s640/b4a6297d3516cc010eda1174237cbdd5.jpg)
Familia za Ketangenyi na Musika zinawakaribisha ndugu, jamaa na marafiki katika ibada ya maombi ya kumuombeamarehemu mpendwa Mama yetu, Dada yetu, Bibi yetuBettisheba Pole Ketang’enyialiyefariki asubuhi ya tarehe 30 September, 2015.
Misa itafanyika siku ya Jumapili, tarehe 4 October, 2015 kuanzia saa mbili asubuhi (8:00 am) hadi saa tano kasorobo (10:45 am.)
Location: Francis Collins Funeral Home500 University Blvd, WestSilver Spring, MD...
9 years ago
Vijimambo04 Oct
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KISOMO CHA MAREHEMU MAMA MPENDWA BI. AZIZA S. BORORO DMV