Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAMILIA YA ELIABU MWISA INAKUMBUKA MIAKA KUMI (10) TANGU KUTOKWA NA MAMA MPENDWA SUBILAGA KISYALA (2005-2015)

SASA ni miaka kumi Tangu alipo tutoka mpendwa wetu Subilaga Kisyala mwaka 2005 Agosti Familia, Ndugu, na Jamaa tutakukumbuka Daima Kwa mema uliyo tutendea ulupo kuwa hai, Alizaliwa mwaka 1968 na kufariki 2005 
Mpendwa wetu uliondoka na kuacha Baba na watoto wake Watano walio kuwa bado wanahitaji huruma na upendo wako, Daima hautafutika katika akili zao hakuna kama mama hakika upendo wa mama katika maisha ya kila siku unahitajika sana,
Wanapo sema kila alipo Mama mmoja kuna mafanikio hilo...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

TFDA YAZUNGUMZIA MAFANIKO YAKE TANGU 2005 HADI 2015

Kutoka kushoto ni Ofisa Uelimishaji na Huduma wa TFDA, Rutta Kahamba, akifuatiwa na Meneja Mahusiano na Uhusiano wa Umma, Gaudensia Simwanza, na Msaidizi Kitengo cha Elimu kwa Umma na Huduma kwa Wateja, Evice Audax. Meneja Mahusiano na Uhusiano wa Umma kutoka TFDA, Gaudensia Simwanza, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).…

 

11 years ago

CloudsFM

DULLY SYKES ATIMIZA MIAKA KUMI NA TANO TANGU AINGIE KWENYE MUZIKI WA BONGO FLEVA

STAA wa Bongo Fleva,Dully Sykes mwaka huu ametimiza miaka 15 tangu aingie kwenye muziki wa Bongo Fleva na ngoma yake ya Julieta ambayo ilihit kwenye redio station zote za hapa nchin,baadaye zikaja Salome,Nyambizi na nyinginezo mpaka leo msanii huyo ameweza kuendelea kuwepo kwenye game ukizingatia ni msanii wa mwanzo wa muziki huo wa bongo fleva.Ndani ya miaka hiyo kumi na tano Dully ana miliki mijengo, ana watoto watatu, ana album mbili za Historia ya kweli 2002, pamoja na Handsome 2003,...

 

10 years ago

Dewji Blog

THT kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, tarehe 31/1/2015, Escape 1

1

Meneja Mkuu wa Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji, Tanzania House of Talent (THT), Mwita Mwaikenda akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar leo.

Kufungua kampuni ya ushonaji na ubunifu wa mavazi

Kituo cha kuzalisha na kukuza vipaji, Tanzania House of Talent, kinatarajia kuadhimisha miaka kumi toka kuanzishwa kwake hapo tarehe 31/1/2015 Escape 1 jijini Dar es Salaam.

THT ilianzishwa mwishoni mwa mwaka 2005 kwa lengo la kuwasaidia vijana wenye vipaji, lakini wasio na uwezo wa...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MAFANIKIO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE KWA MIAKA MITANO TANGU 2010-2015

Hii ni taarifa ya maendeleo yaliyofanywa na serikali kwa kushirikiana na wananchi na watendaji wa halmashauri ya wilaya ya Makete tangu mwaka 2010 hadi mwaka huu 2015, kama ilivyosomwa na aliyekuwa mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mh. Daniel Okoka kabla ya baraza hilo kuvunjwa hivi karibuni.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mr. Blue: Tangu niwe na familia nimebadilika sana

HERRY Sameer  maarufu kama  Mr. Blue ni mmoja kati ya wasanii wa muda mrefu ambao bado wanafanya muziki na wenye mashabiki wengi ndani na nje ya nchi.

Alipata  umaarufu baada ya kutoa  wimbo  uitwao ‘Mr. Blue’ ambao ulimjengea jina katika  tasnia ya muziki wa Bongo fleva  na kuendelea kutoa nyimbo nyingine kama Mapozi zilizofanya vizuri kwenye chati  za muziki huo.

Kazi za Mr.Blue bado  zinakubalika ikiwa  siku hizi amejikita zaidi kwenye muziki wa Hip Hop akiwa na kundi lao la...

 

9 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMUOMBEA MPENDWA MAMA KETANG'ANYENYI

   

Broadcast live streaming video on Ustream
   

Broadcast live streaming video on Ustream

Padri Lehandly Kimario akiongoza ibada ya kumuombea mpendwa dada, mama na bibi yetu Bettisheba Pole Ketang'enyi iliyofanyika siku ya Jumapili Octoba 4, 2015 Silver Spring, Maryland nchini Marekani.
Mtoto wa marehemu Felicia Simms akisoma wasifu wa marehemu katika ibada ya kumuombea mpendwa dada, mama, bibi Bettisheda Pole Keteng'enyi iliyofanyika siku ya Jumapili  Octoba 4, 2015 Silver Spring, Maryland...

 

9 years ago

Vijimambo

IBADA YA MAOMBI YA MPENDWA MAMA YETU DMV JUMAPILI

Bettisheba Pole Ketang'enyi enzi ya uhai wake
Familia za Ketangenyi na Musika zinawakaribisha ndugu, jamaa na marafiki katika ibada ya maombi ya kumuombeamarehemu mpendwa Mama yetu, Dada yetu, Bibi yetuBettisheba Pole Ketang’enyialiyefariki asubuhi ya tarehe 30 September, 2015.
Misa itafanyika siku ya Jumapili, tarehe 4 October, 2015 kuanzia saa mbili asubuhi (8:00 am) hadi saa tano kasorobo (10:45 am.)
Location: Francis Collins Funeral Home500 University Blvd, WestSilver Spring, MD...

 

9 years ago

Vijimambo

ANGALIA LIVE IBADA YA MAMA YETU MPENDWA BETTISHEBA

Broadcast live streaming video on Ustream

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU MAMA MPENDWA BI. AZIZA S. BORORO DMV

Familia ya Bwana Shariff na Bi Jamila inapenda kuwataarifu juu ya KISOMO cha kumaliza msiba wa mpendwa marehemu Mama yao Bi Aziza S.Bororo kitakachofanyika siku ya Jumamosi 01/10/15 nyumbani kwao kuanzia saa nane na nusu (2.30pm) Adress ni 12726 Gladys Retreat Circle Bowie ,Md 20720 .Tafadhali ukipata taarifa hii mjulishe mwenzako .Contact # 301-674-9667 Shariff202 -271-1860 Aunt Grace 301-395-5133 Aisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani