Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchezaji wa densi uliobadili maisha ya wanawake

Wakati jeraha la uti wa mgongo lilipomaanisha kuwa Vickie Simmonds ataanza kutumia kiti cha gurudumu, aligundua mapenzi yake ya kudensi. Kwa usaidizi wa rafiki yake mkuu Amanda.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Simulizi ya mwanamke anayekabiliana na ugonjwa uliobadili muonekano wake

Farah Khalek anasema muonekano wa sura yake ilimtisha hata yeye mwenyewe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vyoo nafuu kuokoa maisha ya wanawake

Kikundi kimoja cha kujitolea nchini India kimegawa vyoo 108 bure katika kijiji ambako wasichana waliuawa kwa kunyongwa .

 

11 years ago

Habarileo

Wanawake 8,000 hupoteza maisha wakijifungua

TAKRIBANI wanawake 8,000 wanakufa kila mwaka nchini kutokana na sababu mbalimbali wakati wa kujifungua.

 

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 40 ya wanawake Z’bar wanaishi maisha duni

DSC_0081

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

UTAFITI uliofanywa  na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women  umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya umasikini kwa kutojitambua na kukosa...

 

9 years ago

MillardAyo

Sentensi ya Ronaldinho kuhusu uchezaji wa Neymar, Messi, Suarez na Guardiola timu gani anaweza pata mafanikio

Bado headlines kuhusu kocha Pep Guardiola atafundisha timu gani msimu ujao zinazidi kushika kasi, najua umesikia kuwa kwa sasa Pep Guardiola atajiunga na klabu ya Machester City msimu ujao, lakini Chelsea wanatajwa kumuwania kocha huyo sambamba na klabu ya Manchester United wapinzani wa Man City. Kwa sasa wengi wanajiuliza ni timu gani sahihi kwa Pep […]

The post Sentensi ya Ronaldinho kuhusu uchezaji wa Neymar, Messi, Suarez na Guardiola timu gani anaweza pata mafanikio appeared first on...

 

10 years ago

Habarileo

Mke wa Rais ahimiza kliniki kuokoa maisha ya wanawake

Mke wa Rais, Mama Salma KikweteMKE wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wanawake nchini kuendelea kupunguza vifo wakati wa kujifungua kwa kuhudhuria kliniki pindi wanapogundua kuwa ni wajawazito.

 

11 years ago

GPL

MCHEZA DENSI ASABABISHA VURUGU BRAZIL

Moto ukiwaka katika Barabara baada ya kuzuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira katika viunga vya mji mkuu Rio de Janeiro. Kumezuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira usiku kucha katika mojawapo ya viunga vya mji mkuu Rio de Janeiro. Barabara zimefungwa mjini humo wakati risasi zikisikika kutoka eneo hilo na polisi waking'ang'ana kuwadhibiti wakaazi hao. Polisi wakipambana na wakaazi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mijeledi 91 kwa kucheza densi Iran

Watu 6 waliokamatwa kwa kucheza wimbo wa 'Happy' wamehukumiwa kifongo jela na adhabu ya kuchapwa mijeledi 91.

 

10 years ago

GPL

ASILIMIA 40 YA WANAWAKE Z’BAR WANAISHI MAISHA DUNI‏

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki. UTAFITI uliofanywa na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani