Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sentensi ya Ronaldinho kuhusu uchezaji wa Neymar, Messi, Suarez na Guardiola timu gani anaweza pata mafanikio

Bado headlines kuhusu kocha Pep Guardiola atafundisha timu gani msimu ujao zinazidi kushika kasi, najua umesikia kuwa kwa sasa Pep Guardiola atajiunga na klabu ya Machester City msimu ujao, lakini Chelsea wanatajwa kumuwania kocha huyo sambamba na klabu ya Manchester United wapinzani wa Man City. Kwa sasa wengi wanajiuliza ni timu gani sahihi kwa Pep […]

The post Sentensi ya Ronaldinho kuhusu uchezaji wa Neymar, Messi, Suarez na Guardiola timu gani anaweza pata mafanikio appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Ronaldinho feki amvamia Lionel Messi akiwa mazoezini

Mazoezi ya juzi kwa timu ya taifa ya Argentina yaliingiliwa na kituko baada ya shabiki wa Brazil kuvamia na kujifananisha na nyota wa nchi hiyo hasimu, Ronaldinho.

 

5 years ago

Mirror Online

Lionel Messi slams claims of Barcelona transfer exit and Ronaldinho bail as 'fake news'

Lionel Messi slams claims of Barcelona transfer exit and Ronaldinho bail as 'fake news'  Mirror Online'Fake news!' - Lionel Messi makes furious double denial on Instagram  Goal.comLuis Suarez Says This Superstar Is 'Always Welcome' In Barcelona's Dressing Room: Report  International Business TimesLionel Messi explains why he wouldn't look Arsenal legend Thierry Henry in the face  Mirror Online'Neymar is Messi's natural replacement at Barcelona' - World Cup winner Mazinho backs move for...

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na pichaz 15 za Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na wengine walivyosherehekea Chrismass …

Sikukuu ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu kubwa sana duniani, hususani kwa bara la Ulaya shamrashamra za sikukuu hii zinakuwa kubwa sana tofauti na Afrika, Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyopost au kusherehekea sikukuu ya Chrismass na familia, watu wao wa karibu na hata na wapenzi wao. Miongoni […]

The post Kutana na pichaz 15 za Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na wengine walivyosherehekea Chrismass … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Neymar, Messi waacha mapengo

Lionel Messi na Neymar hawatakuwepo wakati Brazil na Argentina watakapokuwa uwanjani kusaka tiketi ya kwenda Urusi, miamba hiyo ya Amerika Kusini inaanza mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia 2018 leo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngassa awafunika Messi, Neymar

>Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amewapiku nyota wa Barcelona, Lionel Messi, Neymar kwa ufungaji wa mabao kwa mwaka 2014, huku akiachwa na kinara wa ufungaji Cristiano Ronaldo kwa magoli matatu tu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo,Messi na Neymar wachuana Ballon

Ronaldo,Messi na Neymar wachuana Ballon d'Or

 

10 years ago

Mwananchi

Lionel Messi, Neymar waizamisha Bayern

Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Hispania, Barcelona wametumbukiza mguu mmoja katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Bayern Munich.

 

10 years ago

Mtanzania

Guardiola ampigia simu Messi kwa Siri, amshauri asiondoke Barcelona

Lionel_Messi_2205072bPEP Guardola amemshauri mshambuliaji Lionel Messi kubakia Barcelona akimtaka nyota huyo wa Argentina kuwa mtulivu na kuonyesha imani kwa mipango ya kocha wake wa sasa, Luis Enrique.
Wiki iliyopita mchezaji huyo aliyewahi kunyakua tuzo ya mchezaji bora wa mwaka mara nne, aliweka wazi kuwa huenda akaondoka Camp Nou baada ya kukiri kuwa hajui atakuwa wapi msimu ujao.
Mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wamekuwa wakihusishwa na mpango wa kumwaga fedha ili kumnasa mchezaji huyo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani