Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kutana na pichaz 15 za Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na wengine walivyosherehekea Chrismass …

Sikukuu ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu kubwa sana duniani, hususani kwa bara la Ulaya shamrashamra za sikukuu hii zinakuwa kubwa sana tofauti na Afrika, Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyopost au kusherehekea sikukuu ya Chrismass na familia, watu wao wa karibu na hata na wapenzi wao. Miongoni […]

The post Kutana na pichaz 15 za Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na wengine walivyosherehekea Chrismass … appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 ..

Ikiwa ni siku ya kwanza katika mwaka 2016 yaani mwaka mpya, kila mtu amesherehekea kwa namna yake. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyosherehekea sikukuu ya mwaka mpya. Wengine walisherehekea sikukuu ya mwaka mpya wakiwa majumbani kwao na wapenzi wao na wengine kwa vinywaji flani hivi. Unataka kutumiwa MSG za […]

The post Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 .. appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney …

December 31 ikiwa tunaelekea kufunga mwaka 2015 kwa kusubiri saa kadhaa zitimie ili tuumalize mwaka. Hii ni Alhamisi ya mwisho kwa mwaka 2015. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TBT Pichaz za mastaa hawa wa soka, Juma Kaseja, Neymar, Ronaldo, Messi na Wayne Rooney. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz 10 kilivyohappen pande za Geita katika Show ya Yamoto Band, usiku wa Chrismass Dec 25 2015 …

Sikukuu  ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu zenye mvuto duniani kote, imekuwa kawaida kwa vijana na watu wa rika tofauti tofauti kusherehekea kwa namna yao ya kipekee. Yamoto Band wakali wa hit single kadhaa ikiwemo kama Cheza kwa Madoido wameachia single yao mpya Mama, ambayo inafanya vizuri kama nyimbo zao nyingine, waliamua kuanzia Geita […]

The post Pichaz 10 kilivyohappen pande za Geita katika Show ya Yamoto Band, usiku wa Chrismass Dec 25 2015 … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20

Mtu wangu wa nguvu naomba nikujuze kilichotokea katika Mama Tour ya Yamoto Band pande za Mwanza, ikiwa ni siku moja imepita toka Yamoto Band wapige Show kali pande za Geita, usiku wa December 25 yaani sikukuu ya Chrismass, December 26 siku ya Boxing Day wameamua kufungua mabox yao ya zawadi ndani ya ukumbi wa Villa […]

The post Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya Neymar alivyosherehekea Chrismass Brazil, kaperform kwenye Stage moja na Thiaguinho, cheki hapa ..

Kama unajiuliza mastaa wa soka wa Ligi Kuu Hispania watakuwa wapi wakati huu Chrismass, ukizingatia Ligi yao imesimama kidogo kwa ajili ya sikukuu ya Chrismass na Boxing Day, Neymar anatajwa kuwa alikodi ndege binafsi hadi kwao Brazil na kuhudhuria Show ya msanii maarufu wa Brazil Thiaguinho. Kama humjui Thiaguinho staa wa muziki aliyeimba na kucheza katika Stage moja […]

The post Video ya Neymar alivyosherehekea Chrismass Brazil, kaperform kwenye Stage moja na Thiaguinho, cheki hapa .....

 

11 years ago

Michuzi

Luis Suarez: I must thank you all for this award

After collecting the PFA Players' Player of the Year honour on Sunday evening, Liverpool forward Luis Suarez revealed his depth of gratitude to his teammates, family and the club's supporters. A phenomenal season in which the Uruguayan has registered 30 goals in 31 appearances in the Barclays Premier League was rewarded with the individual accolade at a ceremony in London. The Reds' No.7 saw off competition from colleagues Steven Gerrard and Daniel Sturridge, plus Eden Hazard, Adam Lallana...

 

11 years ago

BBCSwahili

Luis Suarez ahamia Barcelona

Liverpool imekubali kumuuza Luis Suarez kwa Barcelona kwa kima cha pauni milioni 75.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mdhamini wa Luis Suarez ajiondoa

Mshambuliaji wa timu ya Uruguay Luis Suarez amempoteza mmoja wa wadhamini wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani