Kutana na pichaz 15 za Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na wengine walivyosherehekea Chrismass …
Sikukuu ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu kubwa sana duniani, hususani kwa bara la Ulaya shamrashamra za sikukuu hii zinakuwa kubwa sana tofauti na Afrika, Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyopost au kusherehekea sikukuu ya Chrismass na familia, watu wao wa karibu na hata na wapenzi wao. Miongoni […]
The post Kutana na pichaz 15 za Luis Suarez, Neymar, Ronaldo, Fabregas na wengine walivyosherehekea Chrismass … appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 ..
Ikiwa ni siku ya kwanza katika mwaka 2016 yaani mwaka mpya, kila mtu amesherehekea kwa namna yake. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyosherehekea sikukuu ya mwaka mpya. Wengine walisherehekea sikukuu ya mwaka mpya wakiwa majumbani kwao na wapenzi wao na wengine kwa vinywaji flani hivi. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 .. appeared first on...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney …
December 31 ikiwa tunaelekea kufunga mwaka 2015 kwa kusubiri saa kadhaa zitimie ili tuumalize mwaka. Hii ni Alhamisi ya mwisho kwa mwaka 2015. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TBT Pichaz za mastaa hawa wa soka, Juma Kaseja, Neymar, Ronaldo, Messi na Wayne Rooney. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Cheki TBT Pichaz za mastaa wa soka Ronaldo, Kaseja, Messi, Neymar na Wayne Rooney … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Pichaz 10 kilivyohappen pande za Geita katika Show ya Yamoto Band, usiku wa Chrismass Dec 25 2015 …
Sikukuu ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu zenye mvuto duniani kote, imekuwa kawaida kwa vijana na watu wa rika tofauti tofauti kusherehekea kwa namna yao ya kipekee. Yamoto Band wakali wa hit single kadhaa ikiwemo kama Cheza kwa Madoido wameachia single yao mpya Mama, ambayo inafanya vizuri kama nyimbo zao nyingine, waliamua kuanzia Geita […]
The post Pichaz 10 kilivyohappen pande za Geita katika Show ya Yamoto Band, usiku wa Chrismass Dec 25 2015 … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20
Mtu wangu wa nguvu naomba nikujuze kilichotokea katika Mama Tour ya Yamoto Band pande za Mwanza, ikiwa ni siku moja imepita toka Yamoto Band wapige Show kali pande za Geita, usiku wa December 25 yaani sikukuu ya Chrismass, December 26 siku ya Boxing Day wameamua kufungua mabox yao ya zawadi ndani ya ukumbi wa Villa […]
The post Baada ya Chrismass Geita, Yamoto Band wamefungua mabox ya zawadi Villa Park Mwanza, cheki pichaz 20 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Video ya Neymar alivyosherehekea Chrismass Brazil, kaperform kwenye Stage moja na Thiaguinho, cheki hapa ..
Kama unajiuliza mastaa wa soka wa Ligi Kuu Hispania watakuwa wapi wakati huu Chrismass, ukizingatia Ligi yao imesimama kidogo kwa ajili ya sikukuu ya Chrismass na Boxing Day, Neymar anatajwa kuwa alikodi ndege binafsi hadi kwao Brazil na kuhudhuria Show ya msanii maarufu wa Brazil Thiaguinho. Kama humjui Thiaguinho staa wa muziki aliyeimba na kucheza katika Stage moja […]
The post Video ya Neymar alivyosherehekea Chrismass Brazil, kaperform kwenye Stage moja na Thiaguinho, cheki hapa .....
11 years ago
Michuzi28 Apr
Luis Suarez: I must thank you all for this award
![](http://assets3.lfcimages.com/uploads/2072__7777__suarez263_52cfeee474ffc493556533.jpg)
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Luis Suarez ahamia Barcelona
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Mdhamini wa Luis Suarez ajiondoa