Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake 8,000 hupoteza maisha wakijifungua

TAKRIBANI wanawake 8,000 wanakufa kila mwaka nchini kutokana na sababu mbalimbali wakati wa kujifungua.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

8,000 hupoteza maisha kwa uzazi

IMEELEZWA takribani wanawake 8,000 wanapoteza maisha kwa mwaka hapa nchini kutokana na uzazi. Hayo yalibainishwa na Meneja Mradi wa uboreshaji uzazi salama wa Chama cha Wakunga Tanzania (TAMA), Martha Rimoy,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto 1,000 hupoteza maisha kila mwaka

IMEELEZWA kuwa watoto 1000 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi kila mwaka upoteza maisha kutokana na wazazi wao kuhusisha ugonjwa huo na imani za kishirikina. Mwenyekiti wa Chama cha Watoto...

 

9 years ago

BBCSwahili

Shida zinazokabili wanawake wakijifungua Mandera

Kaunti ya Mandera inayopatikana Kaskazini Mashariki mwa Keenya imetajwa kuwa mahala hatari zaidi ulimwenguni kwa mwanamke kujifungulia mtoto.

 

10 years ago

Vijimambo

Asilimia 70 ya wagonjwa wa saratani hupoteza maisha katika nchi zinazoendelea

Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitambulishwa wake wa marais kutoka nchi mbalimbali za Afrika na Mkewe mama Margaret Kenyatta kabla ya kufungua mkutano wa tisa wa Jukwaa la wake wa marais wa Afrika la kutokomeza magonjwa ya saratani za mfumo wa uzazi ambazo ni mlango wa kizazi, matiti na tezi dume unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Kenyatta (KICC) uliopo mjini Nairobi. Kushoto ni Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete.Na Anna Nkinda –...

 

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 70 ya wagonjwa wa saratani hupoteza maisha katika nchi zinazoendelea — Mhe. Uhuru Kenyatta

12_7

Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitambulishwa wake wa marais kutoka nchi mbalimbali za Afrika na Mkewe mama Margaret Kenyatta  kabla ya kufungua mkutano wa tisa wa Jukwaa la wake wa marais wa Afrika la kutokomeza magonjwa ya saratani za mfumo wa uzazi ambazo ni mlango wa kizazi, matiti na tezi dume unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Kenyatta (KICC) uliopo mjini Nairobi. Kushoto ni Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete.

CKV9RFDWoAA1kFz

Na Anna Nkinda –...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Mwananchi

‘Nahitaji Sh700,000 kuokoa maisha yangu’

Ugonjwa wa saratani unazidi kushika kasi kila kukicha hapa nchini. Pia umegharimu maisha ya watu wengi kutokana na huo ugonjwa bado haujapatiwa tiba madhubuti.

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake zaidi ya 1,000 kuchunguzwa saratani

ZAIDI ya kinamama 1,000 wa Mkoa wa Dodoma wanatarajia kufanyiwa uchunguzi wa satarani ya matiti. Kazi hiyo itafanyika kwa muda wa siku tano katika viwanja vya Nyerere Square mjini hapa.

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake 1,000 wapima saratani ya matiti

WANAWAKE zaidi ya 1,000, wamejitokeza kupimwa saratani ya matiti bure katika miezi minne ya kampeni inayoendeshwa na Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani