Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shida zinazokabili wanawake wakijifungua Mandera

Kaunti ya Mandera inayopatikana Kaskazini Mashariki mwa Keenya imetajwa kuwa mahala hatari zaidi ulimwenguni kwa mwanamke kujifungulia mtoto.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanawake 8,000 hupoteza maisha wakijifungua

TAKRIBANI wanawake 8,000 wanakufa kila mwaka nchini kutokana na sababu mbalimbali wakati wa kujifungua.

 

11 years ago

Mwananchi

SIKU YA WANAWAKE: Shida ya mwanamke ni mila na desturi -Dk Bisimba

>Dunia hii leo inasherekea Sikukuu ya Wanawake, ambayo huadhimishwa Machi 8 ya kila mwaka. Kaulimbiu ya mwaka huu ni Chochea Mabadiliko, Kuleta Usawa wa Kijinsia.

 

10 years ago

Vijimambo

WANAUME ‘HANDSOME’, WANAWAKE WAREMBO NI SHIDA KWENYE NDOA

Katika hali ya kawaida, kila mtu anapofikiria suala la kutafuta mpenzi kwa mwanaume lazima ataangalia msichana mrembo, mwenye muonekano mzuri huku suala la tabia likiwa halipewi umuhimu sana.

Hata kwa wanawake nao huwa wanaangalia wanaume ‘handsome’ ambao hata wakiwa wanatembea pamoja mtaani watavuta macho ya watu na kusifiwa.

Mimi sidhani kama wanaoangalia vigezo hivyo wanakosea hasa kama wanatafuta wapenzi na wachumba watakaotengeneza njia ya kuelekea kwenye ndoa.

Naomba katika hili nieleweke...

 

10 years ago

GPL

WANAUME ‘HANDSOME’, WANAWAKE WAREMBO NI SHIDA KWENYE NDOA

Katika hali ya kawaida, kila mtu anapofikiria suala la kutafuta mpenzi kwa mwanaume lazima ataangalia msichana mrembo, mwenye muonekano mzuri huku suala la tabia likiwa halipewi umuhimu sana. Hata kwa wanawake nao huwa wanaangalia wanaume ‘handsome’ ambao hata wakiwa wanatembea pamoja mtaani watavuta macho ya watu na kusifiwa. Mimi sidhani kama wanaoangalia vigezo hivyo wanakosea hasa kama wanatafuta wapenzi na...

 

11 years ago

Habarileo

'Wanaume washuhudie wake zao wakijifungua'

DHANA ya kutaka wanaume kushuhudia wake zao wakijifungua hospitalini, imeonekana kutokubalika kirahisi miongoni mwa jamii kutokana na kile kinachodaiwa kuwa mila na desturi nyingi hazitoi baraka juu ya hilo.

 

11 years ago

Michuzi

WAJAWAZITO WAKIJIFUNGUA KATIKA MAZINGIRA SALAMA VIFO VYAO VITAPUNGUA - SALMA KIKWETE

 Ili kuhakikisha vifo vya kina mama wajawazito vinapungua ni lazima wajifungue katika mazingira salama huku kukiwa na upatikanaji wa kutosha wa vifaa tiba.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Mama Salma Kikwete wakati akiongea na viongozi wa Bohari ya Dawa (MSD) iliyopo Keko Jijini Dar es Salaam.
Mama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) alitembelea makao makuu ya MSD kwa ajili ya kuangalia vifaa tiba ikiwa ni pamoja na vifaa vya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Makaburi: Kiongozi wa Mandera akamatwa

Kiongozi mmoja wa Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya, amekamatwa na polisi kuhusiana na madai ya kuwepo kwa makaburi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliofanya shambulio la Mandera wasakwa

Wanajeshi na polisi wa Kenya wanawasaka al-Shabaab waliouwa abiria 28 katika basi karibu na Mandera, mji ulio karibu na Somalia

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wawili wauawa Mandera

Watu wawili wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanajeshi kufyatulia risasi gari moja mjini Mandera katika hali isiyoeleweka, ripoti zinasema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani