Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makaburi: Kiongozi wa Mandera akamatwa

Kiongozi mmoja wa Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya, amekamatwa na polisi kuhusiana na madai ya kuwepo kwa makaburi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wanasiasa wa Mandera wahojiwa kuhusu makaburi

Wanasiasa watano kutoka eneo la Mandera nchini Kenya, waliokuwa wamekamatwa na polisi mapema hii leo, katika uwanja wa ndege wa Wilson mjini Nairobi, wameachiliwa huru.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkewe kiongozi wa IS akamatwa

Vikosi vya usalama nchini Lebanon vimemkamata mkewe kiongozi wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la IS Abu Bakr al-Baghdadi karibu na mpaka na Syria na mwanawe mvulana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Shabaab akamatwa

Kiongozi mkuu wa kundi la wapiganaji wa Alshabaab amekamatwa karibu na mji mmoja karibu na mpaka wa Kenya na Somali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani akamatwa Sudan

Kiongozi wa upinzani nchini Sudan Sadiq al Mahdi amekamatwa kutokana na madai ya kuchochea chuki dhidi ya serikali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa mapinduzi B Faso akamatwa

Jenerali Gilbert Diendere ,kiongozi wa mapinduzi ya mwezi uliopita nchini Burkina Faso anazuiliwa na vikosi vya usalama vya taifa hilo .

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliofanya shambulio la Mandera wasakwa

Wanajeshi na polisi wa Kenya wanawasaka al-Shabaab waliouwa abiria 28 katika basi karibu na Mandera, mji ulio karibu na Somalia

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu wawili wauawa Mandera

Watu wawili wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanajeshi kufyatulia risasi gari moja mjini Mandera katika hali isiyoeleweka, ripoti zinasema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali bado tete mjini Mandera

Inaarifiwa kuwa idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wanaoishi katika eneo hilo wameanza kulihama kwa hofu ya usalama wao.

 

10 years ago

TheCitizen

Mandera county turned into a killing field

A wave of deadly attacks launched by Al-Shabaab and long-standing conflicts among rival clans threaten to turn Mandera County into a killing field.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani