Makaburi: Kiongozi wa Mandera akamatwa
Kiongozi mmoja wa Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya, amekamatwa na polisi kuhusiana na madai ya kuwepo kwa makaburi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Wanasiasa wa Mandera wahojiwa kuhusu makaburi
Wanasiasa watano kutoka eneo la Mandera nchini Kenya, waliokuwa wamekamatwa na polisi mapema hii leo, katika uwanja wa ndege wa Wilson mjini Nairobi, wameachiliwa huru.
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mkewe kiongozi wa IS akamatwa
Vikosi vya usalama nchini Lebanon vimemkamata mkewe kiongozi wa kundi la wapiganaji wa kiislamu la IS Abu Bakr al-Baghdadi karibu na mpaka na Syria na mwanawe mvulana.
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
Kiongozi wa Al-Shabaab akamatwa
Kiongozi mkuu wa kundi la wapiganaji wa Alshabaab amekamatwa karibu na mji mmoja karibu na mpaka wa Kenya na Somali.
11 years ago
BBCSwahili18 May
Kiongozi wa upinzani akamatwa Sudan
Kiongozi wa upinzani nchini Sudan Sadiq al Mahdi amekamatwa kutokana na madai ya kuchochea chuki dhidi ya serikali.
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Kiongozi wa mapinduzi B Faso akamatwa
Jenerali Gilbert Diendere ,kiongozi wa mapinduzi ya mwezi uliopita nchini Burkina Faso anazuiliwa na vikosi vya usalama vya taifa hilo .
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Waliofanya shambulio la Mandera wasakwa
Wanajeshi na polisi wa Kenya wanawasaka al-Shabaab waliouwa abiria 28 katika basi karibu na Mandera, mji ulio karibu na Somalia
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu wawili wauawa Mandera
Watu wawili wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya wanajeshi kufyatulia risasi gari moja mjini Mandera katika hali isiyoeleweka, ripoti zinasema.
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Hali bado tete mjini Mandera
Inaarifiwa kuwa idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wanaoishi katika eneo hilo wameanza kulihama kwa hofu ya usalama wao.
10 years ago
TheCitizen16 Mar
Mandera county turned into a killing field
A wave of deadly attacks launched by Al-Shabaab and long-standing conflicts among rival clans threaten to turn Mandera County into a killing field.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania