pluijm ampigia saluti Coutinho
![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4jSRY6YfW7em-7IhgR*RyZy4RnuTXX3rkWJUgpyjVQQ93XC77gHUIlbNipoxuoJrEwSLHkfbeUr-21p67bZCy1/p.jpg?width=650)
Kocha mkuu wa Yanga. Hans van Der Pluijm. Na Khadija Mngwai BAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa. Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/duVHRdMH0nc/default.jpg)
MCHEZA WA YANGA KUTOKA BRAZIL ANDREY FERREIRA COUTINHO PLUIJM AMPIGIA SALUTI
pluijm ampigia saluti Coutinho
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6gYwGXp5bJ6vO-juYYtBqaAAEfk5q5tmBSHr7P*xjCzyuydhSYir8nez3TXdWuSGUMTj4*eW1yNt7jo7wQWUgF/PLUIJMKITAMBI.jpg?width=650)
Na Khadija MngwaiBAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa.
Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, lakini michuano ya Kombe la Mapinduzi...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Wema ampigia saluti Diamond
Wema Sepetu ‘Madam’
Stori: Imelda Mtema
MTOTO mzuri Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ ameonesha kumpigia saluti mpenzi wake wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya kuguswa na ubora wa wimbo wake mpya uitwao Utanipenda kwa kuposti video mtandaoni ikimuonesha akiuimba wimbo huo.
Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Kwenye video hiyo, Madam anaonekana akiwa na shosti wake mwigizaji Aunt Ezekiel wakiimba wimbo huo kwa staili ya kupokezana huku wakiwa wamejilaza kitandani.
Mmoja wa marafiki wa Madam...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bwNIMx9x2XI/VJixnofLzxI/AAAAAAAG5L4/e-w666WzG_g/s72-c/Picha-na-8%2B(1).jpg)
JE WAJUA ASILI YA SALUTI YA ASKARI?
![](http://3.bp.blogspot.com/-bwNIMx9x2XI/VJixnofLzxI/AAAAAAAG5L4/e-w666WzG_g/s1600/Picha-na-8%2B(1).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAGRKbkk-556n21jmKt*10WgjG1jSyqG1FAzQpCqk5izLP44pVBtepa7FmqHHMKw1gtQci2O*lXZyMvFqqPsdmmV/Diamond2.gif)
MASTAA WAMPIGIA SALUTI DIAMOND
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg8t7cfSo1X*yFthhhJWGlvmexM4IG3smT*lRT-yJvPx8UZc*KCQ1NNBv9IuB-0fIEkmAKNwlCnim2KkocHjZ6uC/kajala.jpg)
RAY, JB WAMPIGIA SALUTI KAJALA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E1SZFmSJIID9o5kPiGhu6nX7FmmK221qhArsc9eQ*F5IRwnHLlhFQXf5ErCi5fqhUw0PFn1a*XhqQolEQVbRMw2xjiPcAFBA/mpoto.jpg?width=650)
MRISHO MPOTO, WAZUNGU WAMPIGIA SALUTI, WAMPELEKA MAREKANI -6
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-DG756tUltwU/VZAoFpEJA2I/AAAAAAAAwNM/a2JKyW-NR_c/s72-c/1.jpg)
KINANA ATIA FORA MWANZA MJINI, MAELFU WAFURIKA MKUTANONI UWANJA WA FURAHISHA, AWAPIGIA SALUTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DG756tUltwU/VZAoFpEJA2I/AAAAAAAAwNM/a2JKyW-NR_c/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vk-wHI6i3BU/VZAoFuwD5KI/AAAAAAAAwNI/T9XDgp1Xamk/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P9n2wsd6ufU/VZAoDcVgnJI/AAAAAAAAwNA/aRSBCyaYFhM/s640/3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39fbvdtLSMPtMQAXEf7QkwVjK2pahH5g1WH-fkEBX51kjylC60IwLRIMPVPzAbRwMkk6LUSHRvHYYSV1akDhOpij/snura.jpg?width=650)
SNURA AMPIGIA DEBE DIAMIOND
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Magufuli ampigia debe Mrema
*Asema akishindwa atamtafutia kazi nyingine
NA BAKARI KIMWANGA, VUNJO
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kama wananchi wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro hawataki kukichagua chama hicho katika nafasi ya ubunge, ni bora wamchague mgombea wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo jana, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mji mdogo wa Himo.
Alisema pamoja na kutaka Mrema achaguliwe, anahitaji zaidi...