Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAY, JB WAMPIGIA SALUTI KAJALA

Stori: Imelda Mtema Waigizaji wakongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Jacob Steven ’JB’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ wamempigia saluti muigizaji mwenzao,  Kajala Masanja kutokana na filamu fupi aliyotengeneza ya Mbwa Mwitu. Staa wa Filamu Bongo, Kajala Masanja akihojiwa na waandishi wakati wa uzinduzi wa filamu yake ya Mbwa Mwitu. Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye uzinduzi wa filamu hiyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MASTAA WAMPIGIA SALUTI DIAMOND

Na Gladness Mallya
BAADA ya Jumamosi iliyopita msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kunyakua tuzo tatu kwenye tuzo za Channel O zijulikanazo kama Channel O Africa Music Video Awards 2014 (CHOAMVA), zilizofanyika Afrika Kusini mwishoni mwa wiki iliyopita, mastaa mbalimbali nje na ndani ya nchi wamempigia saluti. Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akipozi . Diamond...

 

9 years ago

GPL

MRISHO MPOTO, WAZUNGU WAMPIGIA SALUTI, WAMPELEKA MAREKANI -6

MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii ya Mrisho Mpoto tuliishia pale Mrisho alipokuwa akijiingizia kipato cha shilingi 3,000 kwa kusimulia hadithi kwa siku kutoka 1,200 za kibarua ambapo sasa Wazungu kutoka Dar walimtumia nauli arudi. Tambaa nayo mwenyewe... “Ikabidi nikubaliane na wale Wazungu, nikatoka Kigoma na kurejea Dar, nakumbuka ilikuwa mwaka 1998 ambapo makazi yangu yalikuwa hayatabiriki kwani siku...

 

10 years ago

Bongo5

Ray C amuomba msamaha Zamaradi, awashauri Kajala na Wema wapatane

Muimbaji wa muziki nchini, Ray C amewataka wasanii kupendana na kuwa kitu kimoja baada ya kuandika ujumbe Instagram aliotumia pia kumuomba msamaha mtangazaji wa Clouds TV, Zamaradi Mketema. Huu ni ujumbe aliomwandikia Zamaradi Mketema na kuwataka Wema na Kajana wasameheane: “Love u zama n sorry for everything keep doing wat u do best @zamaradimketema n […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray c afunguka makubwa kuhusu wema na kajala, pia amuomba msamaha Zamaradi Mketema

Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya:

“Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!nilichogundua Mimi ni kwamba kumekua na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba...

 

10 years ago

GPL

pluijm ampigia saluti Coutinho

Kocha mkuu wa Yanga. Hans van Der Pluijm. Na Khadija Mngwai
BAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa. Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam,...

 

10 years ago

Michuzi

JE WAJUA ASILI YA SALUTI YA ASKARI?

Na Sultani Kipingo Baada ya siku kadhaa za kupekua kila mahali kwenye vitabu vya historia, nimekuta hakuna ajuaye has asili ya saluti. Ila nimekuta maelezo kwamba katika historia ya askari, mkono wa kuume (ama mkomo wa silaha) ulikuwa ukiinuliwa kama ishara ya salamu za kirafiki. Wanahistoria wanasema huenda hiyo ilikuwa ni ishara ya kuonesha kwamba hauko tayari kutumia silaha na kushambulia. Ila toka enzi hizo, ni askari asiye na cheo ama mwenye cheo kidogo ndiye alikuwa analazimika kutoa...

 

9 years ago

Global Publishers

Wema ampigia saluti Diamond

wema (2)Wema Sepetu ‘Madam’

Stori: Imelda Mtema

MTOTO mzuri Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ ameonesha kumpigia saluti mpenzi wake wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya kuguswa na ubora wa wimbo wake mpya uitwao Utanipenda kwa kuposti video mtandaoni ikimuonesha akiuimba wimbo huo.

DIAMOND (4)Nasibu Abdul ‘Diamond’.

Kwenye video hiyo, Madam anaonekana akiwa na shosti wake mwigizaji Aunt Ezekiel wakiimba wimbo huo kwa staili ya kupokezana huku wakiwa wamejilaza kitandani.

Mmoja wa marafiki wa Madam...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.

Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.

Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani