RAY, JB WAMPIGIA SALUTI KAJALA
![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg8t7cfSo1X*yFthhhJWGlvmexM4IG3smT*lRT-yJvPx8UZc*KCQ1NNBv9IuB-0fIEkmAKNwlCnim2KkocHjZ6uC/kajala.jpg)
Stori: Imelda Mtema Waigizaji wakongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Jacob Steven ’JB’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ wamempigia saluti muigizaji mwenzao, Kajala Masanja kutokana na filamu fupi aliyotengeneza ya Mbwa Mwitu. Staa wa Filamu Bongo, Kajala Masanja akihojiwa na waandishi wakati wa uzinduzi wa filamu yake ya Mbwa Mwitu. Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye uzinduzi wa filamu hiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAGRKbkk-556n21jmKt*10WgjG1jSyqG1FAzQpCqk5izLP44pVBtepa7FmqHHMKw1gtQci2O*lXZyMvFqqPsdmmV/Diamond2.gif)
MASTAA WAMPIGIA SALUTI DIAMOND
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E1SZFmSJIID9o5kPiGhu6nX7FmmK221qhArsc9eQ*F5IRwnHLlhFQXf5ErCi5fqhUw0PFn1a*XhqQolEQVbRMw2xjiPcAFBA/mpoto.jpg?width=650)
MRISHO MPOTO, WAZUNGU WAMPIGIA SALUTI, WAMPELEKA MAREKANI -6
10 years ago
Bongo515 Oct
Ray C amuomba msamaha Zamaradi, awashauri Kajala na Wema wapatane
10 years ago
Bongo Movies13 Oct
Ray c afunguka makubwa kuhusu wema na kajala, pia amuomba msamaha Zamaradi Mketema
Ray Ameamua kufunguka na Kusema Haya:
“Kiukweli huwa naumia sana ninapoona mastaa tunatumia muda mwingi kulumbana na kugombana kwa mambo ya kipuuzi sana,mastaa wenzetu wa Nigeria wanatushinda kwa mambo mengi sana sababu wao wanashirikiana na kusapotiana katika mambo mengi sana na hata ukiskia wamepishana basi ujue ni kwa ajili ya biashara tu na si vinginevyo!nilichogundua Mimi ni kwamba kumekua na makundi mbalimbali mitandaoni yanayokuza mambo na kusapoti wasanii kulumbana Mara team simba...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4jSRY6YfW7em-7IhgR*RyZy4RnuTXX3rkWJUgpyjVQQ93XC77gHUIlbNipoxuoJrEwSLHkfbeUr-21p67bZCy1/p.jpg?width=650)
pluijm ampigia saluti Coutinho
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bwNIMx9x2XI/VJixnofLzxI/AAAAAAAG5L4/e-w666WzG_g/s72-c/Picha-na-8%2B(1).jpg)
JE WAJUA ASILI YA SALUTI YA ASKARI?
![](http://3.bp.blogspot.com/-bwNIMx9x2XI/VJixnofLzxI/AAAAAAAG5L4/e-w666WzG_g/s1600/Picha-na-8%2B(1).jpg)
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Wema ampigia saluti Diamond
Wema Sepetu ‘Madam’
Stori: Imelda Mtema
MTOTO mzuri Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ ameonesha kumpigia saluti mpenzi wake wa zamani, Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya kuguswa na ubora wa wimbo wake mpya uitwao Utanipenda kwa kuposti video mtandaoni ikimuonesha akiuimba wimbo huo.
Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Kwenye video hiyo, Madam anaonekana akiwa na shosti wake mwigizaji Aunt Ezekiel wakiimba wimbo huo kwa staili ya kupokezana huku wakiwa wamejilaza kitandani.
Mmoja wa marafiki wa Madam...
10 years ago
Bongo Movies15 Feb
Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...