Shinyanga wagombea jezi za Andrey Coutinho
Pamoja na kutocheza kwa kiwango kikubwa kwenye mchezo wao dhidi ya Stand United, kiungo Andrey Coutinho amewapa biashara nzuri wauzaji wa jezi wa Shinyanga baada ya jezi yenye jina lake kuuzika kama njugu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Vipimo vyamchongea Andrey Coutinho
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Andrey Coutinho amwaga wino Jangwani
Kiungo wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho (kulia).
Na MOblog Team
Kiungo wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho, amemwaga wino wa kukipiga Jangwani kwa kipindi cha miaka miwili, huku akikabidhiwa jezi namba 7 iliyokuwa ikivaliwa na Didier Kavumbagu aliyejiunga na Azam FC.
Nyota huyo aliyetua nchini siku moja baada ya Maximo kuwasili na kusaini mkataba wa kuinoa Yanga kwa kipindi kama hicho, ameomba sapoti ya wachezaji wenzake na mashabiki wa timu hiyo ili aweze kutimiza malengo ya kuisaidia...
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Andrey Coutinho amtesa Marcio Maximo Yanga SC
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo,amesema hana uhakika kama Andrey Coutinho atacheza mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC, itakayochezwa kesho katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/duVHRdMH0nc/default.jpg)
MCHEZA WA YANGA KUTOKA BRAZIL ANDREY FERREIRA COUTINHO PLUIJM AMPIGIA SALUTI
pluijm ampigia saluti Coutinho
![](http://api.ning.com/files/jbaar29oQX6gYwGXp5bJ6vO-juYYtBqaAAEfk5q5tmBSHr7P*xjCzyuydhSYir8nez3TXdWuSGUMTj4*eW1yNt7jo7wQWUgF/PLUIJMKITAMBI.jpg?width=650)
Na Khadija MngwaiBAADA ya kiungo wa Yanga, Andrey Coutinho, raia wa Brazil, kufanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Polisi Zanzibar, kocha mkuu wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm, amefunguka kuwa kiwango cha mchezaji huyo kipo juu kwa sasa.
Pluijm alianza kwa kumuweka benchi kiungo huyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam, lakini michuano ya Kombe la Mapinduzi...
5 years ago
MichuziMANGULA AKUTANA NA VIONGOZI WA CCM SHINYANGA...AONYA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2020
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA ZIARA SOKO KUU SHINYANGA.
9 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA MKUTANO NA AKINA MAMA ZAIDI YA 300 KUPAMBA NA KIPINDUPINDU SHINYANGA
Hapa ni katika ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga ambako wanawake/akina mama zaidi ya 300 wa manispaa ya Shinyanga wamekutana kujadili namna ya kupambana na ugonjwa wa Kipindupindu ambao umeukumba mkoa wa Shinyanga.Mkutano huo umeitishwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro.Akina mama hao waliojitokeza kwa wingi leo jioni Oktoba 06,2015 wameweka mikakati mbalimbali ya kutokemeza ugonjwa kipindupindu ambapo Jana pekee wagonjwa 9 wamelazwa katika kambi maalum jirani na hospital ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRt5qSnWStWX2x7sxWpVBngBodos*q8hSwM0CVqcBDjpJZkCv-K0C7BSbdqK0guvcAtCqXodJXYbZ8IhzSbGfwd/jjj.gif?width=650)
Mwashuiya aikataa jezi Yanga