Mwashuiya aikataa jezi Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRt5qSnWStWX2x7sxWpVBngBodos*q8hSwM0CVqcBDjpJZkCv-K0C7BSbdqK0guvcAtCqXodJXYbZ8IhzSbGfwd/jjj.gif?width=650)
Kiungo mahiri anayekuja kwa kwa kasi ndani ya Yanga, Geofrey Mwashiuya. Said Ally na Saphyna Mlawa KIUNGO mahiri anayekuja kwa kwa kasi ndani ya Yanga, Geofrey Mwashiuya amechukua maamuzi magumu magumu ndani ya klabu hiyo kwa kuikataa jezi namba 19 aliyopewa na uongozi wa klabu hiyo kwa ajili ya kuitumia katika msimu ujao. Kiungo huyo ambaye jana alipewa mkataba wa miaka mitatu na timu hiyo alisema hataki kuvaa jezi hiyo bali...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Raphael Kiongera aikataa jezi ya Mosoti Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD-897F74NRc*4VsHLDDSMUla96YbfVgD9qMRu6YgJFx3MS0DZSR-J5-utStEO-GwpfrGNAnN*13tpNIlryIxpuH5/BOBBY.jpg?width=650)
Bobby Williamson aikataa Yanga rasmi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6jnZoT50D9jrtMeF3ElrbmkcGvTYZFwsC6j*m4s4PDdRN3Dy*eaRmIs2HqGYBoQDuLy2em6VIFDY1q8XvNTF1S/jaja.jpg)
Jaja akataa jezi Yanga
10 years ago
Vijimambo29 Mar
Shinda jezi ya Yanga kutoka Goal
![](http://static.goal.com/1084200/1084242_heroa.jpg)
Shinda jezi ya Yanga kutoka Goal
Goal inatoa nafasi kwa msomaji mmoja kujishindia Jezi ya YangaShare habari hii nzuri na rafiki zako na unaweza pata nafasi ya kujishindia Jezi ya Yanga iliosainiwa na Nadir Haroub Haroub “Cannavaro” na Haruna NiyonzimaUnachotakiwa ni kulike page ya Goal kwenye Facebook na kutufollow Twitter na kasha share hii post kwenye wall yako na marafiki zakoOfa hii ipo wazi mpaka Jumapili Aprili 4, shiriki sasa upate kujishindia zawadi hii toka Goal
Follow Goal Tanzania...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCnX2*RslZP5lIr9MScZZBvrw-d23H-cJM945dHaty6ByKdz8TnZkMgmXJUSMLit8pEbT*cEHDN5dXU*sgpgsQ4H/loga.gif?width=600)
Loga amgawia jezi ya Simba, mchungaji Yanga
10 years ago
Bongo513 Dec
Ray (Yanga) kumpa JB milioni 1 na kuvaa jezi ya Simba baada ya kufungwa
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-l8jKYkbdp9g/VdO7BAkQwCI/AAAAAAAD3jA/ra689fxzEK8/s72-c/3055c181a2e11478e6607acd424e2a8e%2B%25281%2529.jpg)
TBL YATOA JEZI KWA MECHI YA SIMBA NA YANGA DMV AUG 29, 2015 UWANJA WA KAPETI HYATTSVILLE
![](http://4.bp.blogspot.com/-l8jKYkbdp9g/VdO7BAkQwCI/AAAAAAAD3jA/ra689fxzEK8/s640/3055c181a2e11478e6607acd424e2a8e%2B%25281%2529.jpg)
Siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 kwa mara ya kwanza DMV itafanyika pambano kabambe la Simba na Yanga katika uwanja wa Heurich turf field uliopo Hyattsville, Maryland nyuma ya Home Depot anuani ni 6001 Ager Rd, Hyattsville, MD 20781, Mpambano huo ni kwa wachezaji wa DMV tu
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Kandoro aikataa taarifa ya fedha Mbozi
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Phil Neville aikataa Uingereza, ataka kufundisha Hispania
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha msaidizi wa Valencia ya Hispania, Phil Neville (pichani) amesema hana mpango wa kurudi Uingereza kufundisha soka na anapenda kusalia kufundisha soka Hispania ambapo anaamini ni sehemu sahihi kwake kufundisha.
Neville ambaye aliwahi kuchezea Manchester United na Everton zote za Uingereza na baadae kuwa kocha msaidizi wa Manchester United kwa miezi 10 baada ya kocha mkuu, David Moyes kutimuliwa kazi, alikiambia kituo cha michezo cha Skysport kuwa inawezekana...