Shinda jezi ya Yanga kutoka Goal
Shinda jezi ya Yanga kutoka Goal
Goal inatoa nafasi kwa msomaji mmoja kujishindia Jezi ya YangaShare habari hii nzuri na rafiki zako na unaweza pata nafasi ya kujishindia Jezi ya Yanga iliosainiwa na Nadir Haroub Haroub “Cannavaro” na Haruna NiyonzimaUnachotakiwa ni kulike page ya Goal kwenye Facebook na kutufollow Twitter na kasha share hii post kwenye wall yako na marafiki zakoOfa hii ipo wazi mpaka Jumapili Aprili 4, shiriki sasa upate kujishindia zawadi hii toka Goal
Follow Goal Tanzania...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Paul Makonda azindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo.
Paul Makonda akigawa vipeperushi vyenye nyumba na zawadi nyingine zinazoshindaniwa kwa wanahabari.
Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho akiwakaribisha wanahabari na Mkuu wa Wilaya ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DRt5qSnWStWX2x7sxWpVBngBodos*q8hSwM0CVqcBDjpJZkCv-K0C7BSbdqK0guvcAtCqXodJXYbZ8IhzSbGfwd/jjj.gif?width=650)
Mwashuiya aikataa jezi Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6jnZoT50D9jrtMeF3ElrbmkcGvTYZFwsC6j*m4s4PDdRN3Dy*eaRmIs2HqGYBoQDuLy2em6VIFDY1q8XvNTF1S/jaja.jpg)
Jaja akataa jezi Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCnX2*RslZP5lIr9MScZZBvrw-d23H-cJM945dHaty6ByKdz8TnZkMgmXJUSMLit8pEbT*cEHDN5dXU*sgpgsQ4H/loga.gif?width=600)
Loga amgawia jezi ya Simba, mchungaji Yanga
5 years ago
Brinkwire23 Feb
Manchester United players fume after Club Brugge score goal starting with ball rolling at goal kick
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Timu ya Zanzibar Heroes ya Marekani yapokea jezi kutoka kwa wahisani wa PBZ
Katika kilele cha kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Timu ya Zanzibar Heroes kupokea Jezi kutoa kwa wadhaminini wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ambazo jezi hizo zilitolewa na wageni rasmi walihudhuria katika sherehe hizo akiwemo Mh. Mwigulu Nchemba ambae ni Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar pamoja na Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi...
10 years ago
Bongo513 Dec
Ray (Yanga) kumpa JB milioni 1 na kuvaa jezi ya Simba baada ya kufungwa
10 years ago
Dewji Blog29 Dec
Rais wa TFF Jamal Malinzi apokea jezi kutoka kampuni ya Proin kwaajili ya mashindano ya Women Taifa Cup
Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza (kushoto) akimkabidhi Jezi Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jamal Malinzi kwaajili ya Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa Women Cup yanayotarajiwa kutimbua vumbi tarehe 1 January 2015.
Na Josephat Lukaza – Lukaza Blog
Mkurugenzi wa makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza amkabidhi jezi Rais wa TFF, Mh Jamal Malinzi kwaajili ya michuano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-l8jKYkbdp9g/VdO7BAkQwCI/AAAAAAAD3jA/ra689fxzEK8/s72-c/3055c181a2e11478e6607acd424e2a8e%2B%25281%2529.jpg)
TBL YATOA JEZI KWA MECHI YA SIMBA NA YANGA DMV AUG 29, 2015 UWANJA WA KAPETI HYATTSVILLE
![](http://4.bp.blogspot.com/-l8jKYkbdp9g/VdO7BAkQwCI/AAAAAAAD3jA/ra689fxzEK8/s640/3055c181a2e11478e6607acd424e2a8e%2B%25281%2529.jpg)
Siku ya Jumamosi Aug 29, 2015 kwa mara ya kwanza DMV itafanyika pambano kabambe la Simba na Yanga katika uwanja wa Heurich turf field uliopo Hyattsville, Maryland nyuma ya Home Depot anuani ni 6001 Ager Rd, Hyattsville, MD 20781, Mpambano huo ni kwa wachezaji wa DMV tu