Mzee kuuawa kwa kupigwa mawe Nigeria
Mahakama ya kiisilamu katika jimbo la Kano nchini Nigeria, imemkuhuku kifo mzee wa miaka 60 kwa kupigwa mawe hadi afe kwa kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania06 May
Makonda anusurika kupigwa mawe Dar
NA WAANDISHI WETU
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda na maofisa wa Jeshi la Polisi jana walijikuta katika wakati mgumu baada ya kunusurika kupigwa mawe na vijana waliokuwa wamejazana katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo jijini Dar es Salaam.
Makonda na maofisa hao, walifika eneo hilo kwa nia ya kuwaomba madereva wa mabasi yaendayo mikoani kusitisha mgomo waliouanza juzi.
Maofisa wa polisi walionusurika kupigwa mawe ni Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga na...
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
'Wezi kukatwa mikono na wazinifu kupigwa mawe'
11 years ago
Habarileo09 Aug
Mwalimu Mkuu aamrisha mzazi kuzomewa, kupigwa mawe
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, inadaiwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Darajani iliyoko Tabata katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam kuamuru wanafunzi wake kumzomea mzazi aliyefika shuleni hapo kuhoji juu ya michango wanayodaiwa wanafunzi mara kwa mara.
10 years ago
Vijimambo21 Dec
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
#HakiKwaUwa, kampeni ya mtandao baada ya mwanafunzi kuuawa kanisani Nigeria
10 years ago
GPL
WATU WAPATAO 70 WANAOSADIKIWA KUUAWA NA BOKO HARAM WAGUNDULIKA DAMASAK, NIGERIA
11 years ago
GPL
BOSI ALIVYONUSURIKA KUUAWA KWA RISASI
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Adaiwa kuuawa kwa risasi mgodini
10 years ago
GPL
KIONGOZI CHADEMA ADAIWA KUUAWA KWA LIBWATA