Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


#HakiKwaUwa, kampeni ya mtandao baada ya mwanafunzi kuuawa kanisani Nigeria

Kuna ghadhabu nchini Nigeria baada ya mauaji ya mwanafunzi mwenye umri wa miaka 22, Uwavera Omozuwa aliyeuawa kanisani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ajiua baada ya rafiki yake kuuawa

Mtu mmoja amejinyonga mpaka kufa baada ya rafiki yake kipenzi kufariki dunia kwa kile kilichoelezwa kupigwa na walinzi wa Mgodi wa North Mara.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mzee kuuawa kwa kupigwa mawe Nigeria

Mahakama ya kiisilamu katika jimbo la Kano nchini Nigeria, imemkuhuku kifo mzee wa miaka 60 kwa kupigwa mawe hadi afe kwa kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12.

 

11 years ago

Michuzi

MWANAFUNZI CHUO CHA AFYA BUGANDO AJISHINDIA GARI YA BEFORWARD KUPITIA MTANDAO WA FACEBOOK'

Bwa.Marco Hingi akifurahia mara baada ya kujishindia gari hilo aina ya Noah kutoka kampuni ya Be Forward Meneja  Masoko wa Be forward Tanzania,Bwa Kohei Shibata (kulia) na  Meneja Mkuu wa kampuni hiyo  Isaac  Mbinile  wakimkabidhi ufunguo wa gari mshindi wa gari  aina ya Noah  Marco Hingi (katikati) ambaye ni mwanafunzi wa kutoka  hosipitali ya  bungando, jijini mwanza.  Meneja Mkuu wa kampuni ya uagizaji na usambazaji  magari  ya Be forward Tanzania Issac Mbinile (kushoto) akiongea...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa

Katika kipindi cha wiki tatu, watu kote Marekani wamekuwa wakiandamana kufuatia kifo cha George Flyod, mwanaume mweusi aliyekufa mikononi mwa polisi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais wa Guinea-Bissau Cipriano Cassamá ajiuzulu baada ya 'kutishiwa kuuawa'

Guinea-Bissau, yenye historia ya mapinduzi, imekuwa na marais wawili baada ya chaguzi zilizosusiwa.

 

10 years ago

GPL

WATU WAPATAO 70 WANAOSADIKIWA KUUAWA NA BOKO HARAM WAGUNDULIKA DAMASAK, NIGERIA

Askari wa Chad na Niger wakiwa Damasak. Makumi ya miili ya watu wanaosadikiwa kuuawa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri wa Boko Haram, imegunduliwa katika Mji wa Damasak uliopo Kaskazini Mashariki mwa Nigeria. Taarifa zinaeleza kuwa, miili hiyo ya watu 70 ambayo mingi kati yake imekutwa ikiwa imekatwa vichwa, imegunduliwa na askari wa Chad na Niger katika mji huo wa Damasak nchini humo. Tayari uchunguzi umeanzishwa kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mwanafunzi auawa baada ya kukutwa na barua ya mapenzi

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa , Jacob MwaruandaMWANAFUNZI wa Kidato cha Pili, Jofrey Robert Mwakatenya (15) anatuhumiwa kuuawa kikatili na baba yake mzazi, Robert Mwakatenya (35) baada ya kumkuta akiwa na barua ya mapenzi, inayodaiwa aliandikiwa na rafiki wake wa kike.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani