CORONA, ligi zapigwa STOP
![](https://1.bp.blogspot.com/-mvM0v2q_hps/Xmt98rUxYUI/AAAAAAALi58/-9TFwbMqxp0Hu3Rsx88HBg45SUgS5i-jgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Rasmi, kutokana na kuepuka maambukizi ya Virusi vya Corona, Ligi mbalimbali duniani zimesimamishwa.
Vyama vya soka katika nchi hizo zimetangaza kusimamisha michezo kadhaa hadi mwezi wa Aprili.
Ligi kuu ya Uingereza (EPL) imetangaza kusimamisha michezo yote ya mpira wa miguu, FA, Premier League, EFL na Barclays FA Women’s Super League, pamoja na FA Women’s Championship hadi Aprili 04 mwaka huu ili kuepuka maambukizi ya virusi hivyo.
Ligi kuu Ufaransa (Ligue 1) pamoja na Ligue 2 zimesimamishwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Mawakala, kampuni za ajira zapigwa ‘stop’
10 years ago
Mtanzania04 Nov
Taasisi nne zapigwa ‘stop’ kutibiwa Muhimbili
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imesitisha kutoa huduma za matibabu kwa mkopo kwa taasisi nne nchini.
Taasisi hizo ni Shirika la Umeme Tanzania (Taneseco), Shirika la Bima la Taifa (NIC), Chuo cha Kilimo cha Sokoine (SUA) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
Hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku chache tangu kupandishwa kwa gharama za huduma kwa wagonjwa wa rufani ambapo kwa sasa wanalazimika kulipia kitanda Sh 5,000 pamoja na Sh 2,000 ya chakula kwa siku.
Kwa...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Wachezaji wasiopimwa afya ‘stop’ ligi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s72-c/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
MITAA YA NAIROBI , MOMBASA KINARA KWA CORONA YAPIGWA STOP KUTOTOKA NJE SAA 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-936LCPHaSg8/XrOWUszbeTI/AAAAAAALpWA/2pLhRC92ae0QEZ6jHXWzbrlPAVosUNn9gCLcBGAsYHQ/s400/_112169525_29af3e34-d526-4e00-b7ce-ba818de24a16.jpg)
Hatua hiyo inalenga kuzuia kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona katika maeneo mengine ya miji ya Nairobi na Mombasa huku wagonjwa wengine wapya 47 wakitangazwa na kufanya idadi ya maambukizi kufikia watu 580.
Akizungumza na vyombo vya habari Waziri wa Afya Mutahi kagwe amesema...
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Ligi ya Ujerumani Bundesliga kurejelewa Mei 16
5 years ago
BBCSwahili03 May
Viruis vya corona: Magufuli ataka ligi ya kandanda Tanzania kuendelea
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_e33glR1qkU/XtAFqJB-vkI/AAAAAAALr7M/jxNWtiyJ3ZIHRf764uQYFDXpVYEKKU21wCLcBGAsYHQ/s72-c/0719c237-f224-4357-9f9a-6850a8fffc15.jpg)
TIMU ZA LIGI KUU ZACHUKUA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
Na Zainab Nyamka-Michuzi TV
TIMU za Ligi Kuu tayari zimesharejea viwanjani kwa ajili ya mazoezi ya pamoja kujiandaa na Ligi Kuu inayotarajiwa kuendelea mapema mwezi Juni mwaka huu baada ya serikali kuruhusu michezo iendelee.
Hata hivyo timu hizo tayari zimechukua tahadhari zinazostahili kupambana na virusi vya Corona kwa kuwapima afya wachezaji wao sambamba na kufuata ushauri wa wataalamu wa afya.
Kwa upande wa Timu ya Polisi Tanzania, Ofisa Habari wao Frank Lukwaro amesema wamechukua...
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Shirikisho la kandanda Tanzania lajiandaa kuendelea kwa ligi