Viruis vya corona: Magufuli ataka ligi ya kandanda Tanzania kuendelea
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba anafikiria kuanzisha ligi ya kandanda ya Tanzania baada ya ligi hiyo kuahirishwa kwa wiki sita kutokana na athari za viruis vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Shirikisho la kandanda Tanzania lajiandaa kuendelea kwa ligi
Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania TFF pamoja na bodi ya ligi hiyo TPLB zinajiandaa kuendelea na ligi ya mchezo huo nchini licha ya kuwepo kwa virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Viruis vya Corona: New York yarekodi wagonjwa wengi zaidi duniani
Picha za mazishi ya pamoja ya wagonjwa waliofariki kutokana na virusi vya corona zaonekana katika mji mkuu wa New York
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KYAjID9Q37Q/Xq6d4zYhO1I/AAAAAAALo8M/ADvAnTAs2tsgoFS42U9MxMotsbuOnsH1QCLcBGAsYHQ/s72-c/Viungopic.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AFIKIRIA KURUHUSU LIGI KUU TANZANIA BARA KUENDELEA
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
BAADA ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara pamoja na aina nyingine za ligi za michezo mbalimbali kusimama kutokana na janga la Corona, Rais Dk.John Magufuli amesema anaangalia uwezekao wa kuruhusu ligi kuendelea ili Watanzania wawe wanaangalia ligi hizo.
Ametoa kauli hiyo leo akiwa Chato mkoani Geita baada ya kumuapisha Waziri mpya wa Katiba na Sheria Dk.Mwigulu Nchemba ambapo Rais amefafanua anafikiria kwa siku zinazikuja aruhusu ligi iendelee angalau watu wawe...
BAADA ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara pamoja na aina nyingine za ligi za michezo mbalimbali kusimama kutokana na janga la Corona, Rais Dk.John Magufuli amesema anaangalia uwezekao wa kuruhusu ligi kuendelea ili Watanzania wawe wanaangalia ligi hizo.
Ametoa kauli hiyo leo akiwa Chato mkoani Geita baada ya kumuapisha Waziri mpya wa Katiba na Sheria Dk.Mwigulu Nchemba ambapo Rais amefafanua anafikiria kwa siku zinazikuja aruhusu ligi iendelee angalau watu wawe...
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Gundogan ataka Liverpool kupewa ubingwa kama ligi itafutwa kwa tishio la virusi vya corona
Gundogan amekiri kuwa viongozi wa mpira wanatakiwa kufanya maamuzi magumu.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 3 amesema atatuma ndege Madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-moTsISVlgWA/XmtO0Rw8gkI/AAAAAAAC01Q/Ocrd6LvFld4xCljYKngg-piHA9Qaz6bcgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI UMMY ATAKA USHIRIKIANO TOKA KWA WADAU VIRUSI VYA CORONA HAVIINGI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-moTsISVlgWA/XmtO0Rw8gkI/AAAAAAAC01Q/Ocrd6LvFld4xCljYKngg-piHA9Qaz6bcgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Ummy alisema katika kikao hicho waliwaeleza wadau kama taarifa ya Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza hali ya maambukizi ya ugonjwa huo duniani, hivyo kama Serikali ni vyema kuwapatia taarifa wadau hao.
“Tumewapa taarifa wadau wetu na kuwahakikishia kwamba Tanzania hakuna mtu...
10 years ago
BBCSwahili06 May
Ligi kuu Tanzania kuendelea
Azam FC itapepetana na Mabingwa wapya wa ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu huu, timu ya Young Africans.
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Ligi Tanzania Bara kuendelea
Vita ya kugombea ubingwa wa soka Tanzania Bara inaendelea Jumamosi baada ya kusimama kwa muda .
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya Corona: Serikali ya Tanzania yatoa utaratibu wa michezo baada ya Magufuli kuruhusu iendelee
Serikali ya Tanzania imetoa wito wa kuzingatiwa kwa mwongozo wa Afya michezoni, wakati Ligi ya soka na michezo mingine itakaporuhusiwa kuendelea nchini humo kuanzia Kesho Juni Mosi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania