Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viruis vya corona: Magufuli ataka ligi ya kandanda Tanzania kuendelea

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema kwamba anafikiria kuanzisha ligi ya kandanda ya Tanzania baada ya ligi hiyo kuahirishwa kwa wiki sita kutokana na athari za viruis vya corona.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Shirikisho la kandanda Tanzania lajiandaa kuendelea kwa ligi

Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania TFF pamoja na bodi ya ligi hiyo TPLB zinajiandaa kuendelea na ligi ya mchezo huo nchini licha ya kuwepo kwa virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Viruis vya Corona: New York yarekodi wagonjwa wengi zaidi duniani

Picha za mazishi ya pamoja ya wagonjwa waliofariki kutokana na virusi vya corona zaonekana katika mji mkuu wa New York

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DK. MAGUFULI AFIKIRIA KURUHUSU LIGI KUU TANZANIA BARA KUENDELEA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
BAADA ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara pamoja na aina nyingine za ligi za michezo mbalimbali kusimama kutokana na janga la Corona, Rais Dk.John Magufuli amesema anaangalia uwezekao wa kuruhusu ligi kuendelea ili Watanzania wawe wanaangalia ligi hizo.
Ametoa kauli hiyo leo akiwa Chato mkoani Geita baada ya kumuapisha Waziri mpya wa Katiba na Sheria Dk.Mwigulu Nchemba ambapo Rais amefafanua anafikiria kwa siku zinazikuja aruhusu ligi iendelee angalau watu wawe...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Gundogan ataka Liverpool kupewa ubingwa kama ligi itafutwa kwa tishio la virusi vya corona

Gundogan amekiri kuwa viongozi wa mpira wanatakiwa kufanya maamuzi magumu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli atuma ndege Madagascar kuchukua 'dawa ya corona'

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 3 amesema atatuma ndege Madagascar kwenda kufuata dawa ya mitishamba ambayo rais wa nchi hiyo anadai kuwa inatibu corona.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI UMMY ATAKA USHIRIKIANO TOKA KWA WADAU VIRUSI VYA CORONA HAVIINGI TANZANIA

  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amekutana na kufanya mazungumzo na wadau wa sekta ya afya lengo likiwa ni kujadili kwa pamoja tishio la mlipuko wa virusi vya corona.
Ummy alisema katika kikao hicho waliwaeleza wadau kama taarifa ya Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza hali ya maambukizi ya ugonjwa huo duniani, hivyo kama Serikali ni vyema kuwapatia taarifa wadau hao.
“Tumewapa taarifa wadau wetu na kuwahakikishia kwamba Tanzania hakuna mtu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu Tanzania kuendelea

Azam FC itapepetana na Mabingwa wapya wa ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu huu, timu ya Young Africans.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi Tanzania Bara kuendelea

Vita ya kugombea ubingwa wa soka Tanzania Bara inaendelea Jumamosi baada ya kusimama kwa muda .

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Serikali ya Tanzania yatoa utaratibu wa michezo baada ya Magufuli kuruhusu iendelee

Serikali ya Tanzania imetoa wito wa kuzingatiwa kwa mwongozo wa Afya michezoni, wakati Ligi ya soka na michezo mingine itakaporuhusiwa kuendelea nchini humo kuanzia Kesho Juni Mosi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani