Ligi kuu Tanzania kuendelea
Azam FC itapepetana na Mabingwa wapya wa ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu huu, timu ya Young Africans.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Ligi kuu Tanzania kuendelea Jumamosi
Ligi kuu ya Tanzania itaendelea Jumamosi hii,Michezo kadhaa itachezwa
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Ligi kuu Tanzania kuendelea leo
Ligi kuu ya Tanzania bara itaendelea tena leo kwa timu 14 kujitupa katika viwanja saba nchini.
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Ligi kuu Tanzania bara kuendelea leo
Ligi Kuu Tanzania bara Itaendelea tena leo katika viwanja saba ikiwa ni michezo ya mzunguko wa pili
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Ligi kuu Tanzania kuendelea jumamosi hii
Michuano ya kusaka ubingwa ligi kuu nchini Tanzania inaingia mzunguko wa 19 Jumamosi hii
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KYAjID9Q37Q/Xq6d4zYhO1I/AAAAAAALo8M/ADvAnTAs2tsgoFS42U9MxMotsbuOnsH1QCLcBGAsYHQ/s72-c/Viungopic.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AFIKIRIA KURUHUSU LIGI KUU TANZANIA BARA KUENDELEA
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
BAADA ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara pamoja na aina nyingine za ligi za michezo mbalimbali kusimama kutokana na janga la Corona, Rais Dk.John Magufuli amesema anaangalia uwezekao wa kuruhusu ligi kuendelea ili Watanzania wawe wanaangalia ligi hizo.
Ametoa kauli hiyo leo akiwa Chato mkoani Geita baada ya kumuapisha Waziri mpya wa Katiba na Sheria Dk.Mwigulu Nchemba ambapo Rais amefafanua anafikiria kwa siku zinazikuja aruhusu ligi iendelee angalau watu wawe...
BAADA ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara pamoja na aina nyingine za ligi za michezo mbalimbali kusimama kutokana na janga la Corona, Rais Dk.John Magufuli amesema anaangalia uwezekao wa kuruhusu ligi kuendelea ili Watanzania wawe wanaangalia ligi hizo.
Ametoa kauli hiyo leo akiwa Chato mkoani Geita baada ya kumuapisha Waziri mpya wa Katiba na Sheria Dk.Mwigulu Nchemba ambapo Rais amefafanua anafikiria kwa siku zinazikuja aruhusu ligi iendelee angalau watu wawe...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Ligi kuu England kuendelea
Ligi kuu ya soka ya England inatarajia kuendelea tena wikendi hii kwa michezo kadhaaa.
11 years ago
GPLLigi Kuu Bara kuendelea leo
Kwenye Uwanja wa taifa, mabingwa watetezi Yanga watakuwa na kibarua kigumu mbele ya Maafande wa Ruvu Shooting, ikumbukwe katika mzunguko wa kwanza vijana wa Jangwani walifanikiwa kuondoka na ushindi wa bao 1-0.
Mechi zingine Kagera Sugar ipo kwenye Uwanja wa nyumbani wa Kaitaba wakikaribisha Rhino Rangers, Coastal Union ya Tanga itakuwa na shughuli pevu dhidi ya Mbeya City.
Maafande wa JKT Oljoro wapo nyumbani wakiisubiri...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HiJisCo494s/VSeQ70saQBI/AAAAAAAHP_k/qpL7RL2bwLw/s72-c/tff_LOGO1.jpg)
LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKIENDI HII
![](http://2.bp.blogspot.com/-HiJisCo494s/VSeQ70saQBI/AAAAAAAHP_k/qpL7RL2bwLw/s1600/tff_LOGO1.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika viwanja sita tofauti nchini, viwanja vinne vikitimua vumbi kesho jumamosi, na michezo miwili kuchezwa siku ya jumapili.
Jumamosi JKT Ruvu watakua wenyeji wa Coastal Union katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es salaam, huku wakata miwa wa Kagera Sugar wakiwakaribisha maafande wa Ruvu Shooting katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Timu ya Mtibwa Sugar watawakaribisha Azam FC kwenye uwanja wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania