Ligi kuu Tanzania kuendelea leo
Ligi kuu ya Tanzania bara itaendelea tena leo kwa timu 14 kujitupa katika viwanja saba nchini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Ligi kuu Tanzania bara kuendelea leo
11 years ago
GPLLigi Kuu Bara kuendelea leo
10 years ago
BBCSwahili06 May
Ligi kuu Tanzania kuendelea
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Ligi kuu Tanzania kuendelea Jumamosi
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Ligi kuu Tanzania kuendelea jumamosi hii
11 years ago
GPLLIGI KUU KUENDELEA LEO, NYASI KUWAKA KWENYE VIWANJA SITA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KYAjID9Q37Q/Xq6d4zYhO1I/AAAAAAALo8M/ADvAnTAs2tsgoFS42U9MxMotsbuOnsH1QCLcBGAsYHQ/s72-c/Viungopic.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AFIKIRIA KURUHUSU LIGI KUU TANZANIA BARA KUENDELEA
BAADA ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara pamoja na aina nyingine za ligi za michezo mbalimbali kusimama kutokana na janga la Corona, Rais Dk.John Magufuli amesema anaangalia uwezekao wa kuruhusu ligi kuendelea ili Watanzania wawe wanaangalia ligi hizo.
Ametoa kauli hiyo leo akiwa Chato mkoani Geita baada ya kumuapisha Waziri mpya wa Katiba na Sheria Dk.Mwigulu Nchemba ambapo Rais amefafanua anafikiria kwa siku zinazikuja aruhusu ligi iendelee angalau watu wawe...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z0K9aWpjI9o/VHlnt9wGk3I/AAAAAAAG0Ec/k7323zojKWg/s72-c/Sports-swahili-Blog-Ad-800-X-600-Pixel.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...