Ligi kuu Tanzania kuendelea jumamosi hii
Michuano ya kusaka ubingwa ligi kuu nchini Tanzania inaingia mzunguko wa 19 Jumamosi hii
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Ligi kuu Tanzania kuendelea Jumamosi
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ligi kuu England kuendelea wikiendi hii
10 years ago
Michuzi20 Oct
LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKI HII

10 years ago
Michuzi
LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKIENDI HII

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika viwanja sita tofauti nchini, viwanja vinne vikitimua vumbi kesho jumamosi, na michezo miwili kuchezwa siku ya jumapili.
Jumamosi JKT Ruvu watakua wenyeji wa Coastal Union katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es salaam, huku wakata miwa wa Kagera Sugar wakiwakaribisha maafande wa Ruvu Shooting katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Timu ya Mtibwa Sugar watawakaribisha Azam FC kwenye uwanja wa...
10 years ago
GPL
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
10 years ago
BBCSwahili06 May
Ligi kuu Tanzania kuendelea