LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKI HII
Ligi kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) inatarajiwa kuendelea kesho Jumatano kwa michezo minne kuchezwa katika viwanja tofauti nchini, huku timu 8 zikisaka kupata pointi tatu muhimu.Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Young Africans watawakaribisha Toto Africans, mchezo utakaonza majira ya saa 10:30 jioni, mjini Shinyanga Stand United watakua wenyeji wa Majimaji katika uwanja wa Kambarage mjini humo.Tanzania Prisons watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, huku Wagosi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HiJisCo494s/VSeQ70saQBI/AAAAAAAHP_k/qpL7RL2bwLw/s72-c/tff_LOGO1.jpg)
LIGI KUU YA VODACOM KUENDELEA WIKIENDI HII
![](http://2.bp.blogspot.com/-HiJisCo494s/VSeQ70saQBI/AAAAAAAHP_k/qpL7RL2bwLw/s1600/tff_LOGO1.jpg)
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika viwanja sita tofauti nchini, viwanja vinne vikitimua vumbi kesho jumamosi, na michezo miwili kuchezwa siku ya jumapili.
Jumamosi JKT Ruvu watakua wenyeji wa Coastal Union katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es salaam, huku wakata miwa wa Kagera Sugar wakiwakaribisha maafande wa Ruvu Shooting katika uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Timu ya Mtibwa Sugar watawakaribisha Azam FC kwenye uwanja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-i53TW8ijxn4/VcuxLcIk86I/AAAAAAAHwSk/_bkpRA58sBs/s72-c/mail.google.com.jpg)
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Ligi kuu England kuendelea wikiendi hii
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Ligi kuu Tanzania kuendelea jumamosi hii
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3d5fnWbP0VgtCCOHJTy6dcA0az9NUMJ21Q9sCS*OMgNkkSIKLGoIRo5wX*SJk6fYno961dCAxL*GeZbHnshZ*nJ/unnamed80.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l6hLA4AvZdU/U2dDlbQhB2I/AAAAAAAFflE/RNkhL8oDy2M/s72-c/unnamed+(80).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-r7UC0K6y64M/VdWqJpyrt1I/AAAAAAAHyio/R5SVPpicx9M/s72-c/mail.google.com.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
10 years ago
Habarileo06 Aug
Vodacom kuendelea kudhamini ligi
SHIRIKISHO la Mpira la Soka Tanzania (TFF) limesaini mkataba mpya wa miaka mitatu wa udhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.