Taasisi nne zapigwa ‘stop’ kutibiwa Muhimbili
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imesitisha kutoa huduma za matibabu kwa mkopo kwa taasisi nne nchini.
Taasisi hizo ni Shirika la Umeme Tanzania (Taneseco), Shirika la Bima la Taifa (NIC), Chuo cha Kilimo cha Sokoine (SUA) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
Hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku chache tangu kupandishwa kwa gharama za huduma kwa wagonjwa wa rufani ambapo kwa sasa wanalazimika kulipia kitanda Sh 5,000 pamoja na Sh 2,000 ya chakula kwa siku.
Kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mvM0v2q_hps/Xmt98rUxYUI/AAAAAAALi58/-9TFwbMqxp0Hu3Rsx88HBg45SUgS5i-jgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CORONA, ligi zapigwa STOP
![](https://1.bp.blogspot.com/-mvM0v2q_hps/Xmt98rUxYUI/AAAAAAALi58/-9TFwbMqxp0Hu3Rsx88HBg45SUgS5i-jgCLcBGAsYHQ/s640/index.jpg)
Rasmi, kutokana na kuepuka maambukizi ya Virusi vya Corona, Ligi mbalimbali duniani zimesimamishwa.
Vyama vya soka katika nchi hizo zimetangaza kusimamisha michezo kadhaa hadi mwezi wa Aprili.
Ligi kuu ya Uingereza (EPL) imetangaza kusimamisha michezo yote ya mpira wa miguu, FA, Premier League, EFL na Barclays FA Women’s Super League, pamoja na FA Women’s Championship hadi Aprili 04 mwaka huu ili kuepuka maambukizi ya virusi hivyo.
Ligi kuu Ufaransa (Ligue 1) pamoja na Ligue 2 zimesimamishwa...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Mawakala, kampuni za ajira zapigwa ‘stop’
Serikali imetoa miezi miwili kwa mawakala binafsi wa huduma za ajira kuacha mara moja kuajiri na kukodisha wafanyakazi, vinginevyo sheria kali zitachukuliwa dhidi ya wahusika.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ha*i6Zw5RmpLIZ5ejVETro6C5ntsyz1HgcF-Ayz4BenffPygIKsouRN52ugzeB3aWdAQCXpeFXLiryuP5efdnhqdlBDlZn4r/MSAFIRI.jpg?width=650)
MSAFIRI DIOF:AWASHAURI WATUMIAJI KWENDA MUHIMBILI, MWANANYAMALA KUTIBIWA BURE
Makala: Elvan Stambuli
MWANAMUZIKI mahiri wa muziki wa dansi nchini, Msafiri Diof amesema anajuta kwa kitendo chake cha kutumia madawa ya kulevya ‘unga’ na kwamba ameshaamua kuachana nao kwa sababu hakuna faida yoyote aliyopata. Mwanamuziki Mashuhuri wa Twanga Pepeta, Msafiri Diof akiwa Global TV…
9 years ago
CCM BlogMICHANGO YA WASAMARIA WEMA YAFANIKISHA JOYCE WA MBEYA KUWASILI MUHIMBILI KUTIBIWA
Ndugu Wasamaria wema,
Tunapenda kutumia fursa hii kuwapa updates kuhusu dada Joyce Mwambepo, mkaazi wa Sinde jijini Mbeya mwenye umri wa miaka 27 ambaye anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.
Kwa bahati mbaya mwezi April mwaka jana dada huyu alipata ajali ya kugongwa na gari ambalo dereva wake hakusimama kumsaidia. Ila kwa msaada wa wasamaria wema alipelekwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mbeya ambako inasemekana alikaa kwa miezi mitatu bila...
Tunapenda kutumia fursa hii kuwapa updates kuhusu dada Joyce Mwambepo, mkaazi wa Sinde jijini Mbeya mwenye umri wa miaka 27 ambaye anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.
Kwa bahati mbaya mwezi April mwaka jana dada huyu alipata ajali ya kugongwa na gari ambalo dereva wake hakusimama kumsaidia. Ila kwa msaada wa wasamaria wema alipelekwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mbeya ambako inasemekana alikaa kwa miezi mitatu bila...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BouSmdDQr8I/Xu0CG9FcV0I/AAAAAAALuq0/S8rKcbG-KHIbO2sxODIUPuKiWYDIeA7vgCLcBGAsYHQ/s72-c/26907181_1025705670911155_7645322881895613784_n.jpg)
TAHADHARI KUHUSU WAGONJWA WANAOCHANGISHA FEDHA ZA MATIBABU YA MOYO KWA AJILI YA KUTIBIWA KATIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BouSmdDQr8I/Xu0CG9FcV0I/AAAAAAALuq0/S8rKcbG-KHIbO2sxODIUPuKiWYDIeA7vgCLcBGAsYHQ/s320/26907181_1025705670911155_7645322881895613784_n.jpg)
Uongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) unapenda kuutahadharisha Umma kuwa waangalifu na wagonjwa wanaochangisha fedha kwa ajili ya kutibiwa katika Taasisi hii. Ndugu Mwananchi, inawezekana wagonjwa hao wanaochangisha fedha za matibabu wanakuwa tayari wamepata msamaha wa matibabu kutoka kwa Taasisi au wasamaria wema...
10 years ago
Michuzi24 Jun
Muhimbili yazichachafya taasisi za Serikali 84 Wiki ya Utumishi wa Umma
Na. Aminiel Aligaesha (MNH)Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imezichachafya taasisi 84 zilizoshiriki maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma kwa kutwaa tuzo mbili kati ya tano maalum zikiashiria kuwa mshindi wa kwanza kwa kila tuzo. Tuzo ya kwanza ni ya ubunifu katika kutoa huduma iliyokuwa ikitaka taasisi kuwa na ubunifu ama wa kuiga (adoption) au asili (origin) na ambao haujawahi kufanyika hapa nchini na ubunifu huo uwe umeleta tija katika utoaji huduma eneo la kazi.
Katika tuzo hii MNH...
Katika tuzo hii MNH...
10 years ago
VijimamboDAKTARI FEKI AKAMATWA KATIKA TAASISI YA MIFUPA MUHIMBILI ( MOI )
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O-OFgY0_KV8/XqMZohsNsXI/AAAAAAALoJ8/BLzaVdx9kRsAGCZZPbh0Xz_eG3pA6FztgCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-04-24-19-40-36-2.jpg)
Wataalamu kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Muhimbili watembelea Kituo cha COVID-19 Hospitali ya Amana
![](https://1.bp.blogspot.com/-O-OFgY0_KV8/XqMZohsNsXI/AAAAAAALoJ8/BLzaVdx9kRsAGCZZPbh0Xz_eG3pA6FztgCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-04-24-19-40-36-2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-OeCQzCXwhM0/XqMZos3kJNI/AAAAAAALoKA/tKpy4pDylbggSo_ULWQ6BnAlqTQ3rpoPwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-04-24-19-40-36.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania