Wachezaji wasiopimwa afya ‘stop’ ligi
>Wachezaji wote wanaocheza katika Ligi Kuu Tanzania Bara watalazimika kupima afya zao kabla ya Machi Mosi ili kuendelea kuzitumikia klabu zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Wasiopimwa afya kupigwa ‘stop’ VPL
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeziagiza klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara kuhakikisha zinawapima afya nyota wao kupitia madaktari wa timu zao na watakaoshindwa kutekeleza agizo hilo hadi Machi Mosi...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]
The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Wachezaji 30 wasajiliwa Ligi Kuu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mvM0v2q_hps/Xmt98rUxYUI/AAAAAAALi58/-9TFwbMqxp0Hu3Rsx88HBg45SUgS5i-jgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CORONA, ligi zapigwa STOP
![](https://1.bp.blogspot.com/-mvM0v2q_hps/Xmt98rUxYUI/AAAAAAALi58/-9TFwbMqxp0Hu3Rsx88HBg45SUgS5i-jgCLcBGAsYHQ/s640/index.jpg)
Rasmi, kutokana na kuepuka maambukizi ya Virusi vya Corona, Ligi mbalimbali duniani zimesimamishwa.
Vyama vya soka katika nchi hizo zimetangaza kusimamisha michezo kadhaa hadi mwezi wa Aprili.
Ligi kuu ya Uingereza (EPL) imetangaza kusimamisha michezo yote ya mpira wa miguu, FA, Premier League, EFL na Barclays FA Women’s Super League, pamoja na FA Women’s Championship hadi Aprili 04 mwaka huu ili kuepuka maambukizi ya virusi hivyo.
Ligi kuu Ufaransa (Ligue 1) pamoja na Ligue 2 zimesimamishwa...
9 years ago
Habarileo29 Aug
Klabu Ligi Kuu zabanwa mikataba ya wachezaji
KLABU za Ligi Kuu ya Tanzania Bara zinatakiwa kuwasilisha mikataba ya wachezaji wake kwa ajili ya kuidhinishwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
9 years ago
Habarileo10 Sep
Wachezaji kufaidika na Bima ya Afya
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeingia makubaliano na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wa kuzihudumia klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara. Katika makubaliano hayo, klabu za Ligi Kuu zitawajibika kuwalipia wachezaji wao kiasi cha Sh 76,800 kwa kila mchezaji kwa mwaka mzima, ambapo inalihusu pamoja na benchi la ufundi.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Y9zSblgZfmI/VXnSD5n_cQI/AAAAAAAACBg/vhK4jICMVhc/s72-c/remote_image_ece3c110f8.jpg)
ORODHA YA WACHEZAJI WALIOTEMWA NA TIMU ZAO LIGI YA UINGEREZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y9zSblgZfmI/VXnSD5n_cQI/AAAAAAAACBg/vhK4jICMVhc/s400/remote_image_ece3c110f8.jpg)
Mchezaji wa Manchester United, Tom Cleverley ni miongoni mwa majina makubwa yaliyotangazwa kuachwa katika orodha ya ligi kuu England.Kwa taratibu za ligi kuu England, msimu ukishamalizika, timu zinatakiwa kuwasilisha majina ya wachezaji itakaowatema kuelekea msimu mpya.Baada ya kumalizika kwa msimu wa 2014/2015, wachezaji waliotangazwa kuachwa na baadhi ya timu za England hawa hapa;
PREMIER LEAGUE RELEASED LIST FOR 2014-15
ArsenalAbou Diaby, Jack Jebb, Oluwasemilogo Adesewo Ajayi,Austin...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-xJJ-zEgkCes/VYmR6c45qJI/AAAAAAAACMg/n5TyPxN_kUg/s72-c/Apresentacao-Kaka-Foto-DivulgacaoOrlando-City_LANIMA20140807_0210_25.jpg)
LIST YA WACHEZAJI WANAOLIPWA PESA NYINGI ZAIDI LIGI YA MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xJJ-zEgkCes/VYmR6c45qJI/AAAAAAAACMg/n5TyPxN_kUg/s400/Apresentacao-Kaka-Foto-DivulgacaoOrlando-City_LANIMA20140807_0210_25.jpg)
Kwanza kabisa ujue Kaka ndie mchezaji anaelipwa pesa nyingi kuliko wachezaji wote kwenye MLS ambapo yeye anapokea $7.16m (£4.51m) kwa mwaka. Pia anaefuatia sio Lampard wala Gerrad.Clint Dempsey ambae alikua Fulham and Tottenham na sasa anachezea Seattle Sounders, Michael Bradley wa Toronto FC wanalipwa pesa nyingi kuliko wachezaji hawa wa England.
![](http://2.bp.blogspot.com/-RVqc5XtTMr8/VYmRGmXgxtI/AAAAAAAACMQ/mz6cuKwuZIc/s400/2462E86100000578-2895288-image-m-8_1420291496128.jpg)
.
Clint Dempsey analipwa kiasi cha $6.7m (£4.2m) na Michael Bradley analipwa $6.5m (£4.1m).Namba 4 anakaa Steven Gerrard amabe anacheza L.A Galaxy...
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Wachezaji nyota waliosajiliwa, kuachwa msimu huu Ligi Kuu