Mashine za kuondoa sumu mwilini zapigwa marufuku
BARAZA la Tiba Asili na Tiba Mbadala limepiga marufuku matumizi ya mashine za Quantum na mashine za kuondoa sumu mwilini, kutokana na waganga wanaotumia mashine hizo kutokuwa na uelewa wa kutafsiri majibu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm83jNrLrpcfVGxMvyEfWKfoTxWazX8KWYHZ5bIpvKlZUBMmlj*ctsM3o3Qdu5SyiTSiztWmv1PUVMxAdVmep93P/KOLESTRO.jpg)
SIRI YA KUONDOA KOLESTRO MWILINI
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Wagundua sumu ya kuua VVU mwilini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwPnQCFfCZTvMReLlZx5WBZPHiLIEWpvHP*FbrEVznHs-szVouOwQwlA3S5hvdB-hk0JJ2YdYhiTuYRuMSwAsrbq/bui.jpg)
AISHA BUI AHAHA KUONDOA MAKOVU MWILINI
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Tabiti zapigwa marufuku Old Trafford
9 years ago
BBCSwahili26 Sep
Volkswagen zapigwa marufuku Uswizi
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ndege za Misri zapigwa marufuku Urusi
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/soundcity-banned-psquare-life.jpg)
VIDEO ZA PSQUARE ZAPIGWA MARUFUKU SOUND CITY TV
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Shule binafsi zapigwa marufuku kupandisha ada
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SERIKALI imepiga marufuku wamiliki wa shule binafsi kupandisha ada kuanzia Januari mwakani.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Serikali kutoa tamko la kufuta ada na michango mbalimbali kwa shule zake za msingi na sekondari.
Taarifa ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, profesa Sifuni Mchome, imepiga marufuku shule hizo kuongeza ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia Januari 2016 hadi hapo...