Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sikinde yarejea ‘Old Trafford’

BAADA ya miaka minne, hatimaye kundi zima la Mlimani Park Orchestra ‘Sikinde’ limetanagaza kurejea rasmi ndani ya ukumbi wa DDC Kariakoo jijini Dar es Salaam. Ukumbi ambao mashabiki wa ‘Nginde’...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sikinde yajichimbia Bagamoyo 

HOMA ya pambano la watani wa jadi katika muziki wa dansi nchini kati ya Mlimani Park ‘Wana Sikinde’ na Msondo Ngoma ‘Baba ya Muziki’ litakalofanyika Desemba 25, imeanza kupanda huku...

 

11 years ago

Mwananchi

Sikinde, Msondo hapatoshi leo

Wakongwe wa muziki wa dansi, Msondo Ngoma na Mlimani Park Orchestra “Sikinde” leo mchana wazitachuana vikali kwenye Viwanja vya TCC Club Chang’ombe, Temeke.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msondo, Sikinde kupambana Krismasi

WAFALME wa muziki wa dansi nchini, Msondo Ngoma ‘Baba ya Muziki’ na Mlimani Park Orchestra ‘Wana Sikinde Ngoma ya Ukae’,  wanatarajiwa kupambana siku ya Krismasi kwenye viwanja vya TCC Club...

 

11 years ago

GPL

SIKINDE YAPAGAWISHA MASHABIKI DARLIVE

Hassan Rehani Bitchuka akiimba.     Hassani Kunyata (kushoto) Msemba wa Minyugu (katikati) na Emba wakiimba.
   Aldof Mbinga akikung’uta gitaa la solo.…

 

11 years ago

Mwananchi

Msondo, Sikinde kuonyeshana umwamba

Bendi za muziki wa dansi yenye upinzani wa jadi nchini, Msondo Music Band (Baba ya Muziki) na DDC Mlimani Park Orchestra (Sikinde Ngoma ya Ukae), watapambana katika Desemba 25 katika Viwanja vya TCC Club, Chang’ombe.

 

10 years ago

GPL

BINTI ATIBUA ONYESHO LA SIKINDE

Stori: Richard Bukos, Morogoro
BINTI mmoja aliyeonekana kuzidisha kiburudisho, mwishoni mwa wiki iliyopita alitibua onyesho na kugeuka kuwa burudani baada ya kupanda juu ya jukwaa la Mlimani Park ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’ na kuwakumbatia ovyo wanamuziki. Binti akivamia jukwaa baada ya kupiga urabu wa kutosha. Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita katika ukumbi wa Railway Club ambako paparazi wetu alimshuhudia binti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Abdallah Gama arejea Sikinde

BENDI Kongwe ya muziki wa dansi nchini Mlimani Park Orchestral ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’ imemrejesha kundini mpiga gitaa zito la besi, mwanamuziki wake wa zamani Abdallah Gama. Mwanamuziki huyo alitambulishwa...

 

11 years ago

Michuzi

SIKINDE YAANZA KUIPUA NYIMBO MPYA

Hatimaye bendi kongwe, bendi pekee ambayo imepata kuwa mabingwa wa muziki nchini mara zote mbili ambazo mashindano hayo yamepata kufanyika, bendi ya Mlimani Park Orchestra “Sikinde Ngoma ya Ukae” imeanza kuipua nyimbo zake mpya zitakazokuwa katika album mpya ya “Jinamizi la Talaka” itakayozinduliwa mwaka huu 2014. 
Album hiyo itakuwa na jumla ya nyimbo 7,ambapo mpaka sasa Sikinde wameishazitoa nyimbo tatu.
Nyimbo hizo ni Jinamizi la Talaka, Za Mkwezi Mbili,Nikipata Nitalipa. Nyimbo hizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sikinde: Hatuna mpango wa kwenda mahakamani

UONGOZI wa Bendi ya Mlimani Park ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’, umesema hauna mpango wa kwenda mahakamani kumshitaki wakala aliyewachukua baadhi ya wanamuziki wao na kwenda kufanya nao ziara nchini Ujerumani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani