Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Siendi kinyume na bongofleva hiphop’

Rapa wa muziki wa Hiphop nchini, Boniventure Kabobo maarufu Stamina, amesema kasi ya mabadiliko ya muziki wa Bongo Fleva haiwezi kumwondoa katika aina ya muziki anaoufanya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Siendi ikulu kusaka utajiri — Magufuli

256 NA BAKARI KIMWANGA, KILIMANJARO

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema haombi nafasi ya urais kwa ajili ya kutafuta utajiri.

Akizungumza na wananchi katika mikutano yake ya kampeni iliyofanyika wilaya za Siha, Hai na Moshi mkoani Kilimanjaro jana, Dk. Magufuli alisema lengo lake ni kutaka kuleta mabadiliko ya kweli ya maendeleo kwa Watanzania.

Dk. Magufuli alisema suala la utajiri na kujilimbikizia mali, si utamaduni wake, na kama angeutaka,...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba: Siendi Dodoma makabidhiano

Wakati Katiba inayopendekezwa ikikabidhiwa kesho kwa Rais Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema hata akialikwa katika sherehe hizo hatahudhuria kutokana na majukumu aliyonayo kwa sasa.

 

10 years ago

GPL

Kavumbagu: Siendi Yanga, mimi ni wa Azam

Straika hatari wa Azam FC, Mrundi, Didier Kavumbagu. Said Ally Dar es Salaam
HUKU mkataba wake ukiwa unaelekea ukingoni na zikiibuka fununu za kuwindwa na Yanga, straika hatari wa Azam FC, Mrundi, Didier Kavumbagu, ameweka wazi kuwa hana mpango na wala hawezi kuhama ndani ya kikosi chake hicho kwa sasa. Mshambuliaji huyo ambaye pia aliwahi kuichezea timu ya Atletico ya Burundi kabla ya kutua Yanga, kwa sasa yupo huru kujiunga...

 

10 years ago

Vijimambo

Jaji Warioba: Siendi Dodoma makabidhiano ya Katiba

Dar/Dodoma. Wakati Katiba inayopendekezwa ikikabidhiwa kesho kwa Rais Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema hata akialikwa katika sherehe hizo hatahudhuria kutokana na majukumu aliyonayo kwa sasa.Jaji Warioba alisema angependa kuhudhuria sherehe hiyo ambayo pia itahudhuriwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wakuu wa mikoa, mabalozi na wageni mbalimbali, lakini kutokana na dharura aliyoipata haitawezekana.Sherehe hiyo itafanyika...

 

9 years ago

Mwananchi

Nyota wa Bongofleva waliopotea

Tangu kuibuka kwa muziki wa kizazi kipya ambao wengi wanautambua kwa jina la |BongoFleva, yapo majina ya wanadada ambayo yalitajwa kuwa mihimili ya muziki huo ambayo kwa sasa yanasuasua kwenye medani ya muziki huo.

 

11 years ago

GPL

JOKATE HUYOO BONGOFLEVA

Stori: Musa Mateja MWANAMITINDO maarufu ambaye aliwika na lebo ya Kidoti, Jokate Mwengelo juzikati aliamua kujizamisha rasmi kwenye muziki wa Bongo Fleva baada ya kupanda kwa mara ya kwanza katika Jukwaa la Serengeti Fiesta 2014, akiwa na madensa wake. Mwanamitindo maarufu ambaye aliwika na lebo ya Kidoti, Jokate Mwengelo. Ishu hiyo ilitokea usiku wa kuamkia Agosti 10 mwaka huu ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza,...

 

11 years ago

Mwananchi

Mapinduzi ya HipHop yageukie Walemavu

Anaishi na mama yake katika chumba kimoja kilichopo mitaa ya Mwenge karibu na Kituo cha ITV, jijini Dar es Salaam, akiwa mmoja kati ya wenye ulemavu wachache wanaochukia kupanga foleni barabarani kuomba msaada.

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani