Jaji Warioba: Siendi Dodoma makabidhiano ya Katiba
Dar/Dodoma. Wakati Katiba inayopendekezwa ikikabidhiwa kesho kwa Rais Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema hata akialikwa katika sherehe hizo hatahudhuria kutokana na majukumu aliyonayo kwa sasa.Jaji Warioba alisema angependa kuhudhuria sherehe hiyo ambayo pia itahudhuriwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wakuu wa mikoa, mabalozi na wageni mbalimbali, lakini kutokana na dharura aliyoipata haitawezekana.Sherehe hiyo itafanyika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Jaji Warioba: Siendi Dodoma makabidhiano
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V61iaESxzHc/UyfxgCL9aqI/AAAAAAAFUhI/HxFGj8W8u5g/s72-c/unnameddg.jpg)
MSIKILIZE JAJI JOEPH SINDE WARIOBA AKIWASILISHA RASIMU YA KATIBA MJINI DODOMA LIVE!
![](http://4.bp.blogspot.com/-V61iaESxzHc/UyfxgCL9aqI/AAAAAAAFUhI/HxFGj8W8u5g/s1600/unnameddg.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Jaji Warioba: Siioni Katiba Mpya
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema hali ya mambo yanayoendelea bungeni mjini Dodoma, haoni matumaini ya kupatikana Katiba mpya na hali hiyo imemkatisha tamaa. Wakati...
10 years ago
Vijimambo23 Oct
Majibu ya Jaji Warioba Katiba Mpya
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2014/04/jajiwarioba.jpg)
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Nape atofautiana na Jaji Warioba Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Jaji Warioba asilaumiwe kwa Rasimu ya Katiba
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Jaji Warioba aeleza mwafaka wa Katiba bora