Jaji Warioba: Siioni Katiba Mpya
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema hali ya mambo yanayoendelea bungeni mjini Dodoma, haoni matumaini ya kupatikana Katiba mpya na hali hiyo imemkatisha tamaa. Wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo23 Oct
Majibu ya Jaji Warioba Katiba Mpya
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2014/04/jajiwarioba.jpg)
10 years ago
VijimamboJaji Warioba akoleza moto Katiba Mpya
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Siioni Katiba mpya, nasubiri ngumi bungeni
NIMESOMA majina 201 yaliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuunda Bunge Maalumu ya Katiba, nimebaini uwepo wa safari ndefu kufikia kile wengi wetu tulichokuwa tukitarajia. Bunge Maalumu la Katiba ndilo litakalopitia...
11 years ago
Michuzi12 Feb
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Nape atofautiana na Jaji Warioba Bunge la Katiba
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amesema Bunge Maalumu la Katiba, litatekeleza majukumu yake kwa kufuata Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na si mawazo ya mtu yeyote.
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Jaji Warioba aeleza mwafaka wa Katiba bora
Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema suluhisho la kupata Katiba bora ni pande mbili zinazovutana zitakapofikia mwafaka.
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Jaji Warioba asilaumiwe kwa Rasimu ya Katiba
>Baadhi ya Wajumbe wa Bunge la Katiba, wamewataka wenzao kuacha kutoa tuhuma za kumlaumu, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kutokana na Rasimu ya pili aliyoiwasilisha bungeni, badala yake wajiandae kutetea misimamo yao
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania