Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mifupa ya Dinosaria yapatikana TZ

Aina mpya ya Dinosaria imetambuliwa kufuatia kupatikana kwa mifupa nchini Tanzania.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Makubaliano ya Iran yapatikana

Makubalino kuhusu mradi wa nuklia wa Iran yakamilika

 

9 years ago

BBCSwahili

Magari yalioibwa UK yapatikana Uganda

Wapelelezi waliokuwa wakilitafuta gari moja aina la Lexus lililoibwa mjini London nchini Uingereza wamelipata nchini Uganda.

 

9 years ago

BBCSwahili

Treni iliyosheheni dhahabu yapatikana

Treni iliyofichwa miaka 70 iliyopita ikiwa na dhahabu na vitu vingine vya dhamani yapatikana nchini Poland

 

9 years ago

BBCSwahili

Miili ya wahamiaji yapatikana Austria

Maafisa wa Austria wamesema wamegundua miilli ya wahamiaji iliachwa ndani ya lori karibu na mpaka wa nchi hiyo na Hungary

 

9 years ago

BBCSwahili

Miili ya watu 34 yapatikana Bujumbura

Miili zaidi ya 34 imepatikana katika barabara za mji mkuu wa Burundi huku machafuko yakiendelea.

 

9 years ago

BBCSwahili

Almasi kubwa yapatikana Botswana

Jiwe la pili lenye thamani zaidi duniani la Almasi limegunduliwa nchini Botswana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gauni ya Lupita ya Oscars yapatikana

Nguo aliyovaa mcheazji sinema kutoka Kenya, Lupita, katika Oscars yapatikana baada ya kupotea

 

10 years ago

BBCSwahili

Makaburi 140 yapatikana Malaysia

Polisi nchini Malaysia wamepata makaburi 140 na kugundua kambi 28 haramu za walanguzi wa binadamu

 

10 years ago

StarTV

Hatimaye Katiba pendekezwa yapatikana.

KATIBA Inayopendekezwa kwa wananchi, imepatikana jana na kukamilisha sehemu kubwa ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba, ulioanzia katika ukusanyaji wa maoni ya wananchi. Jumatano ijayo, Oktoba 8, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, anatarajiwa kukabidhi katiba hiyo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein mjini Dodoma.

Hofu ya kutopatikana kura za kutosha za wajumbe kutoka Zanzibar, iliyokuwepo kwa muda mrefu tangu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani