Treni iliyosheheni dhahabu yapatikana
Treni iliyofichwa miaka 70 iliyopita ikiwa na dhahabu na vitu vingine vya dhamani yapatikana nchini Poland
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015

Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Treni ya mizigo yaanguka, abiria 1,000 wa treni wakwama Dodoma
10 years ago
Michuzi.jpg)
HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015
.jpg)
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha Nguruka, shime wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...
11 years ago
BBCSwahili12 Jan
11 years ago
BBCSwahili09 Sep
Mifupa ya Dinosaria yapatikana TZ
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Miili 3 yapatikana Amazon Brazil
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Miili 8 yapatikana mgodini A. Kusini
11 years ago
StarTV03 Oct
Hatimaye Katiba pendekezwa yapatikana.
KATIBA Inayopendekezwa kwa wananchi, imepatikana jana na kukamilisha sehemu kubwa ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba, ulioanzia katika ukusanyaji wa maoni ya wananchi. Jumatano ijayo, Oktoba 8, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, anatarajiwa kukabidhi katiba hiyo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein mjini Dodoma.
Hofu ya kutopatikana kura za kutosha za wajumbe kutoka Zanzibar, iliyokuwepo kwa muda mrefu tangu...
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Ukraine:Hatimaye makubaliano yapatikana