Treni ya mizigo yaanguka, abiria 1,000 wa treni wakwama Dodoma
Zaidi ya abiria 1,000 waliokuwa wakisafiri kwa treni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mikoani ya Kigoma na Mwanza wamekwama mkoani hapa baada ya treni ya mizigo kuanguka kati ya Kituo cha Itigi na Kitalaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Abiria wa treni wakwama Manyoni
ZAIDI ya abiria 700 waliokuwa wakisafiri na treni ya abiria wakitokea Kigoma kuelekea Dar es Salaam, wamekwama kwa siku mbili wilayani Manyoni, baada ya treni ya mizigo kuanguka. Wakizungumza na...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Abiria 900 wakwama Dar baada ya treni ya mzigo kupata ajali
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z_4B8zPeM6Y/VK5yS7SexBI/AAAAAAAG79Y/mYLmGICkVYI/s72-c/IMG-20150108-WA032.jpg)
Abiria wa Treni ya Reli ya Kati wakwama katika Stesheni ya Uvinza,Kigoma leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-z_4B8zPeM6Y/VK5yS7SexBI/AAAAAAAG79Y/mYLmGICkVYI/s1600/IMG-20150108-WA032.jpg)
Ripota wa Globu ya Jamii ambaye ni mmoja wa abiria hao,amezungumza na stesheni masta wa wa Uvinza na kumueleza kuwa ameshatuma wataalam kwenda eneo la tukio...
11 years ago
MichuziTreni ya mizigo yapata ajali eneo la Gulwe Wilaya ya Mpwawa,Dodoma
11 years ago
Michuzi28 Mar
wawili wapoteza maisha, saba wajeruhiwa na wanne hawajulikani walipo baada ya ajali ya treni ya mizigo gulwe, dodoma
VIFO: Ajali hiyo hadi hivi sasa imesababisha vifo vya watu wawili ambao wamefahamika kwa majina yafuatayo:- 1. Felix s/o Kalonga 2. Ismail @...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mabehewa treni ya Ubungo yaanguka
MVUA zilizonyesha usiku wa kuamkia leo zimesababisha injini ya treni kutoka Stesheni kwenda Ubungo Maziwa, kuacha njia na kusababisha mabehewa kuanguka.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMPezhUlGiKG7uH-CpTdtaBJwA8TPtmDWzfQNjR0tlQo5gqMUApDC9s0QBuRUgheoYYcjnh5VxUVo3kOQfsLvmmg/TRENI.jpg?width=650)
TRENI LA MIZIGO LAPATA AJALI DAR
11 years ago
Habarileo10 Jan
Abiria wa treni wamvamia RC
ZAIDI ya abiria 500 waliokuwa wakisafiri kwa treni kutoka Kigoma kwenda Dar es Salaam jana waliandamana hadi Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi wakitaka watafutiwe usafiri mbadala baada ya kukwama stesheni mbalimbali kwa zaidi ya siku saba.