Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magari yalioibwa UK yapatikana Uganda

Wapelelezi waliokuwa wakilitafuta gari moja aina la Lexus lililoibwa mjini London nchini Uingereza wamelipata nchini Uganda.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAGARI YALIYOIBIWA LONDON YAKAMATWA UGANDA

Njia ambayo magari hayo ya wizi yalisafirishwa toka London, Uingereza hadi Kampala, Uganda. Gari aina ya Audi TT iliyosajiriwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Lexus lilokuwa limeibiwa Londoni na kupelekwa Kampala, Uganda.…

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari

Likirudi kwa mwaka wake wa saba, tamasha la magari Tanzania (autofest) litakua likionyesha magari mapya, matoleo mapya ya pikipiki, burudani za muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali wa nchini na burudani nyingine za kusisimua kwa ajili ya familia nzima kuanzia Septemba 19-21, 2014. Tamasha la mwaka huu ambalo linaandaliwa na Vision Investment, litafanyika katika viwanja vya Biafra, Kinondoni. Anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi ni Mhe. Dk Abdallah O. Kigoda, Waziri wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mifupa ya Dinosaria yapatikana TZ

Aina mpya ya Dinosaria imetambuliwa kufuatia kupatikana kwa mifupa nchini Tanzania.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makubaliano ya Iran yapatikana

Makubalino kuhusu mradi wa nuklia wa Iran yakamilika

 

11 years ago

BBCSwahili

Miili ya watu 15 yapatikana CAR

Shirika la msalaba mwekundu Katika Jamhuri ya Afrika ya Kati linasema kuwa limefanikiwa kupata miili ya watu 15 ambao wameuawa tangu siku ya Jumamosi.

 

10 years ago

StarTV

Hatimaye Katiba pendekezwa yapatikana.

KATIBA Inayopendekezwa kwa wananchi, imepatikana jana na kukamilisha sehemu kubwa ya mchakato wa mabadiliko ya Katiba, ulioanzia katika ukusanyaji wa maoni ya wananchi. Jumatano ijayo, Oktoba 8, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, anatarajiwa kukabidhi katiba hiyo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein mjini Dodoma.

Hofu ya kutopatikana kura za kutosha za wajumbe kutoka Zanzibar, iliyokuwepo kwa muda mrefu tangu...

 

9 years ago

BBCSwahili

Almasi kubwa yapatikana Botswana

Jiwe la pili lenye thamani zaidi duniani la Almasi limegunduliwa nchini Botswana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makaburi 140 yapatikana Malaysia

Polisi nchini Malaysia wamepata makaburi 140 na kugundua kambi 28 haramu za walanguzi wa binadamu

 

11 years ago

BBCSwahili

Miili 8 yapatikana mgodini A. Kusini

Waokozi nchini Afrika Kusini wanasema kuwa wamepata miili 8 ndani ya mgodi walimokuwa wamekwama wachimba migodi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani