Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tawaaf Msikiti wa Makkah 2014

Mahujjaaj wakiendelea na Tawaaf katika Baytul Haraam. Kutufu ni kuiznguka Al Ka'abah mara saba ambayo ni mojawapo katika Manaasik ( Ibada za Hajj)
 Msikiti wa Makkah ulivyofurika msimu wa Hajj wote wakiwa katika ibaadah. picha hii ilipigwa baada ya salal ya Alfajiri kutoka ghorofa ya pili Haram. Wazee , watoto, kike kwa kiume wakiendelea na Ibada ya Tawaaf. Haram . Al Ka'abah ni sehemu pekee ambapo mchanganyiko kati ya wanawake na wanaume katiba Ibada umeruhusiwaWanaofanya ibada ya Tawaaf...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.

 Krini ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah ambao uliangukiwa na kusababisha vifo vya mahujaji 107. 


Kufuatia mvua  ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.  

Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa. 

Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...

 

9 years ago

Mtanzania

Mahujaji wasimulia mazingira ya vifo Makkah

Mufti-mpya-599x350Na Waandishi Wetu, Dar

IMEDAIWA kuwa usimamizi mbaya wa zoezi zima la hijja ndio uliosababisha vifo vya mahujaji waliokwenda kuhiji katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia.

Hayo yalibainishwa jana jijini Dar es Salaam na baadhi ya mahujaji ambao wamenusurika kufa katika tukio la kukunyagana lililotokea hivi karibuni katika mji wa Mina.

Akizungumza na waandishi  wa habari jijini Dar es Salaam jana, mmoja wa mahujaji hao waliorejea nchini, Abdulmalik Almas, alisema utaratibu wa kurusha...

 

10 years ago

Habarileo

Mahujaji waanza Ibada ya Hija Makkah

JANA ilikuwa siku ya mwanzo kwa mahujaji waliopo nchini Saudi Arabia kuanza ibada yao ya Hija. Mitaa yote ya Jiji la Makkah na majiji ya Jeddah na Taif ilifurika mahujaji na magari yaliyokuwa yanaelekea Minah, mji uliopo kilometa saba kutoka Msikiti Mkuu wa Makkah kuingojea siku tukufu ya Arafat.

 

9 years ago

Nahcon

Three Nigerians Injured in Makkah Grand Mosque Tragedy


Daily News | The National Newspaper
Three Nigerians Injured in Makkah Grand Mosque Tragedy - Nahcon
AllAfrica.com
The National Hajj Commission of Nigeria (NAHCON) has confirmed that three Nigerian pilgrims sustained minor injuries in the crane crash in Mecca's Grand Mosque in Saudi Arabia. The Chairman of the commission, Mallam Abdullahi Mukhtar, who made ...
Mufti appeals for calm after Mecca tragedyDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Pakistani pilgrims injured in Makkah...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msikiti washambuliwa Sweden

Polisi nchini Sweden wanamtafuta mshukiwa mmoja katika kile ambacho wanamini kuwa shambulizi jengine kwenye msikiti.

 

9 years ago

Mtanzania

Msikiti wa Makka waanguka, waua 65

makkah1MAKKA, SAUDI ARABIA

MSIKITI Mkuu wa Makka ambao waumini wa dini ya kiislamu wamekuwa wakiutumia kufanyia Hija umeanguka na kuua watu 65 huku wengine wanane wakijeruhiwa vibaya katika tukio lililotokea jana nchini Saudi Arabia.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika la utangazaji la Uingereza, BBC chanzo cha tukio hilo ni winchi lililokuwa linatumika katika ukarabati wa msikiti huo kupata hitilafu na kuangukia jengo la msikiti huo.

Mamlaka za usalama nchini humo zimethibitisha kutokea...

 

10 years ago

GPL

MSIKITI WA MTAMBANI KINONDONI WAUNGUA

Msikiti maarufu wa Mtambani uliyopo Kinondoni jijini Dar es salaam waungua. Hadi muda wa saa moja na nusu usiku huu, magari ya zima moto yameonekana eneo la tukio yakijaribu kuuzima moto huo, ingawa kazi ya kuuzima…

 

10 years ago

BBCSwahili

Msikiti washambuliwa nchini Nigeria

Taarifa kutoka mjini Kano, Kaskazini ya Nigeria, zinasema kuwa watu wengi wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la bomu msikitini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vijana wavamia msikiti CAR

Kikundi cha vijana wakristo katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, wameharibu msikiti na kuweka vizuizi barabarani kwa kutumia magurudumu yenye moto mjini Bangui.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani