Mahujaji waanza Ibada ya Hija Makkah
JANA ilikuwa siku ya mwanzo kwa mahujaji waliopo nchini Saudi Arabia kuanza ibada yao ya Hija. Mitaa yote ya Jiji la Makkah na majiji ya Jeddah na Taif ilifurika mahujaji na magari yaliyokuwa yanaelekea Minah, mji uliopo kilometa saba kutoka Msikiti Mkuu wa Makkah kuingojea siku tukufu ya Arafat.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-skaezcAWygo/VgQfd-5QAGI/AAAAAAAAZq8/Hpt6yezMuqo/s72-c/IMG_20150924_185938.jpg)
MAHUJAJI ZAIDI YA 700 WAFA KWA KUKANYAGANA WAKITEKELEZA IBADA YA HIJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-skaezcAWygo/VgQfd-5QAGI/AAAAAAAAZq8/Hpt6yezMuqo/s640/IMG_20150924_185938.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Li2BZTvdsjY/VgPxVxrN8fI/AAAAAAAAZpE/BfzgkRlDF7k/s640/ccc.jpg)
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Mahujaji wasimulia mazingira ya vifo Makkah
Na Waandishi Wetu, Dar
IMEDAIWA kuwa usimamizi mbaya wa zoezi zima la hijja ndio uliosababisha vifo vya mahujaji waliokwenda kuhiji katika mji mtakatifu wa Makka, Saudi Arabia.
Hayo yalibainishwa jana jijini Dar es Salaam na baadhi ya mahujaji ambao wamenusurika kufa katika tukio la kukunyagana lililotokea hivi karibuni katika mji wa Mina.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, mmoja wa mahujaji hao waliorejea nchini, Abdulmalik Almas, alisema utaratibu wa kurusha...
10 years ago
Habarileo04 Oct
Mahujaji milioni 2 wakamilisha hija
ZAIDI ya mahujaji milioni 1.3 kutoka kila pembe ya dunia jana walitumia siku nzima katika viwanja vya Arafat vilivyoko kilometa 15 kutoka jiji la Makkah kukamilisha kilele za ibada ya Hija ya mwaka huu.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xfB_vX_10Ss/default.jpg)
news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.
Kufuatia mvua ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.
Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa.
Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/N0Xct7ZPYQ0/default.jpg)
Simu TV: Mahujaji wa Tanzania wafanya Ibada kuombea amani Tanzania wakati na baada ya uchaguzi mkuu
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DdfO5XC99dY/VDjrRbsqK1I/AAAAAAABZD0/jVQhvR6LTl8/s72-c/20141001_202605.jpg)
Tawaaf Msikiti wa Makkah 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-DdfO5XC99dY/VDjrRbsqK1I/AAAAAAABZD0/jVQhvR6LTl8/s1600/20141001_202605.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-JSIpDT5ZN4k/VDjrTJEBukI/AAAAAAABZEE/aiU_ALFxWFE/s1600/20141010_061522.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-soqkhXsQauI/VDjrSI_b_UI/AAAAAAABZD4/D_I_15GvYyk/s1600/20141010_132832.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uCnK9Fe6P5Q/VDjrUmhPRxI/AAAAAAABZEI/_7YZYyWmNiQ/s1600/20141010_140321.jpg)
9 years ago
Nahcon16 Sep
Three Nigerians Injured in Makkah Grand Mosque Tragedy
Daily News | The National Newspaper
AllAfrica.com
The National Hajj Commission of Nigeria (NAHCON) has confirmed that three Nigerian pilgrims sustained minor injuries in the crane crash in Mecca's Grand Mosque in Saudi Arabia. The Chairman of the commission, Mallam Abdullahi Mukhtar, who made ...
Mufti appeals for calm after Mecca tragedyDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Pakistani pilgrims injured in Makkah...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s1600/unnamed+(18).jpg)
TAFAKARI: Neno la leo ni mtihani mkubwa sana manake Bwana Yesu anatuamuru kuwa tuwapende maadui zetu na kuwaombea wale ambao wanatuonea. Kiubinadamu ni kawaida kutaka kulipiza mabaya kwa mabaya. Hiyo ndiyo asili yetu. Lakini sisi Wakristo tunatakiwa maisha yetu yawe ni...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video)
Hoverboard ni jina la kiingereza lakini sina uhakika kama kuna jina rasmi la kiswahili limepatikana kuviita hivi vifaa… ni kama fashion sasahivi utaona mastaa kibao wanapost video wanatembea navyo !! Lakini kama haujaviweza tafadhali mtu wangu, hata usithubutu kuvijaribu.. Ripoti ya stori kwenye mtandao wa BBC inasema waumini kadhaa wamemshutumu Paroko mmoja wa Ufilipino ambae […]
The post Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video) appeared...