Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TanTrade yazindua rajamu ya Tanzania

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania

Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya  Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tantrade yawekwa kitimoto

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (PAC), imeipa saa 48 Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), kuwasilisha kadi za vyombo vya moto 11 vilivyobadishwa usajili wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TanTrade yaita wafanyabiashara

WAJASIRIAMALI nchini wametakiwa kutumia Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ‘Sabasaba’ yanayotarajiwa kuanza Juni 28, kutafuta fursa za kibiashara badala ya kuegemea katika kuuza bidhaa. Wito huo ulitolewa jana...

 

10 years ago

Habarileo

Wakurugenzi TanTrade kizimbani

Mahakama ya Hakimu Mkazi KisutuWAKURUGENZI wawili wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya madaraka na kusababisha hasara ya Sh milioni 49.1.

 

11 years ago

Michuzi

TANTRADE YATANGAZA VIINGILIO SABASABA

Kaimu Mkurugenzi wa TanTrade, Anna akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na kulipia viingilio kwa njia ya M-Pesa na usalama katika maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba)Dar es Salaam yatakayo anza rasmi kesho na kumalizika julai 8 mwaka huu. Kulia ni Meneja bidhaa na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Moses Krom. Meneja bidhaa na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Moses Krom akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusiana...

 

10 years ago

Habarileo

Magari 5 ya Serikali yayeyuka TanTrade

MAKUCHA ya Bunge, kupitia Kamati yake ya Hesabu za Serikali (PAC) imeendelea kufichua maovu katika idara za Serikali na Mashirika ya Umma, safari hii ikiwa zamu ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara nchini (TanTrade) iliyopewa saa 48 kuwaanika wahusika wa magari matano na pikipiki nane zilizoyeyuka katika mazingira ya kutatanisha.

 

10 years ago

TheCitizen

Tantrade: Unrecorded exports high

>Tanzania exports more goods than what authorities officially record, says a senior official.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Former Tantrade Boss, 10 Officials Charged With Abuse of Office


Former Tantrade Boss, 10 Officials Charged With Abuse of Office
AllAfrica.com
Former Director General (DG) with Tanzania Trade Development Authority (TanTrade), Ramadhani Hashim Khalfan, appeared before the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday charged with abuse of office in relation to transactions ...

 

9 years ago

Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)

TanTrade workers' abuse of office case shelved


TanTrade workers' abuse of office case shelved
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
THE Director of Public Prosecutions (DPP) has not approved amendments of charges that have been preferred against the Director General (DG) with Tanzania Trade Development Authority (Tan-Trade), Ramadhani Hashim Khalfan and others charged with ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani