Pointi tatu za heshima Bara leo
![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZeh4bbdoO-fwnAMUUuStRpXC-UqvTe2jJeGtXlV1hH6ifuFutRhAo2FcPjQcQI*HsKGjKKrCg9ye67wLWWO8hX6/YANGA.jpg?width=650)
Wachezaji wa timu ya Yanga SC. Sweetbert Lukonge na Richard Bukos,Tanga MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga, watashuka dimbani ugenini kuivaa Coastal Union katika mchezo mkali utakaopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, leo Jumatano. Mchezo huo ndiyo utakaovuta hisia kwa mashabiki wengi kati ya mechi nyingi zitakazopigwa leo, hasa ikikumbukwa kuwa katika mchezo wa mzunguko wa kwanza, timu hizo zilitoka sare ya 1-1 kwenye...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*XQe8jxSpUwPRQisyb9vBlpA2C6la3dPuAqYv4zi9Sgipta7cb9-CYJ96Uaqh8EuWYbkDxyBA6ADjA2bvH5coQ4/1dar.jpg?width=650)
POINTI TATU ZA UBINGWA TAIFA LEO
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Nkwabi: Pointi tatu muhimu Simba
MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa klabu ya Simba, Swedi Nkwabi, amezindua rasmi kampeni zake huku kubwa ikiwa ni pointi tatu ndiyo sababu ya kuwania nafasi hiyo. Swedi, mgombea...
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Yanga yapata pointi tatu muhimu
BAADA ya mchezo wa ufunguzi kupata kichapo cha mabao 2-1, kutoka kwa Gor Mahia ya Kenya, Yanga jana imepata ushindi wake wa kwanza wa michuano ya Kagame baada ya kuifunga mabao 3-0, Telecom ya Djibout katika muendelezo wa michuano hiyo jijini Dar es Salaam.
Mabao ya Yanga yaliwekwa kimiani na mshambuliaji Malimi Busungu aliyefunga mabao mawili dakika ya 26 na 61, na Geofrey Mwashiuya dakika ya 72, ambaye aliingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Simon Msuva.
Katika mchezo huo...
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Pointi tatu kuitoa roho Simba SC
10 years ago
Mwananchi06 Oct
‘Mfumo uliwanyima Simba kupata pointi tatu’
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EJZqa8q3ZXs/VR0htNSsd4I/AAAAAAAHO58/pRt-ucqvRRM/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
COASTAL YAIPIGIA HESABU PRISON, YAWEKA MIPANGO YA KUHAKIKISHA POINTI TATU ZINABAKI MKWAKWANI
Timu ya Coastal Union imeanza kuzipigia hesabu pointi tatu muhimu za wapinzani wao Tanzania Prison ili kuweza kuhakikisha wanazichukua wakati watakapokutana kwenye mechi ya Ligi kuu Tanzania bara.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa wikiendi hii kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani ikiwa ni mzunguko wa pili wa ligi hiyo ikielekea lala salama.
Akizungumza leo mara baada ya kumalizika kwa mazoezi ya timu hiyo yanayo endelea kwenye viwanja vya shule ya sekondari Popatlaly mjini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNZJhdsJRTUQo4j4iEUd*McmO4RgisPq3efOW9XW2vLraNPZvSDWeBqN5y-uzll7c6ZI5stWu4a5NXBKIiafPhF0/simba.jpg?width=650)
Simba kusaka heshima Kaitaba leo
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Stars vitani kusaka heshima kwa Swaziland leo